Recent content by kagarara

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Katelelo (kagera) mto ngono (muleba-kagera)
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nassari si chaguo letu..

    Heading!!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu bikra ya msichana!

    Nashukuru sana ndugu zangu mlonisaidia. Mungu awabariki.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Sasa naendelea kupata picha ni kwa nn kada hii (manesi) kwa wanawake huchelewa kuolewa!
  5. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu bikra ya msichana!

    Jamani mm siyo mtoto kama mnavyodhania, ni mtu mzima kabisa. Niko above 20 yrs. Kama kuna mtu anajua suala langu naomba anisaidie kwa uwazi na si kwa mafumbo na matukano.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu bikra ya msichana!

    Mm tangu naanza kuwa na mahusiano sijawahi kukutana na binti bikra. Lakini sasa wakuu naomba kuuliza, imagine unakutana na binti bikra na hamjapanga kupata mtoto, je kuna uwezekano wa kutumia kondomu ili kuzuia mimba? Nauliza hvyo kwa maana kuna mtu aliniambia kuwa bikra ni ngumu sana kuitoa na...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Mm nadhani ni kwa sababu ya kuokoa muda, anakuwa na uhuru pale anapotoka nyumbani na kwenda kulala huko hospitalini.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Tuna haja ya kuendelea na uchunguzi na ikiwezekana tuje humu na rank ya kada zinazoongoza kwa usaliti kwenye ndoa. Hii nadhani inaweza kuwafanya kubadili tabia make huyu mama kasema kuwa wengi wao hawa manesi wanapotoka vyuo na kupangiwa pale(kwa wale wanaoanza kazi) huwa ni wapole, wakarimu na...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Kuna point moja alisema, kwa wale wenye mahawara, akishafika kazini kwenye zile night zao huongea na mlinzi amruhusu hawara yake kwa kumpatia kitu kidogo mlizi. Wapo pia wanaofanya hvyo na madaktari humo humo kwenye vyumba vyao kwa kufanya mpango na manesi wenzao walipo zamu nao.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Hata mm nilikuwa naamini hvyo lakini alivyosema manesi wote wa pale na ukizingatia ile ni hospitali ya mkoa niliogopa sana. Sikuchelea kuconclude kwamba ni wote! Make kama ni kwa hospital hii kwa nn siyo nyingine? Mmmh kama ni kweli basi hii kada yakuogopwa sana!
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Alafu kingine, kwa uzoefu wangu manasi wengi wanaolewa wakiwa wameshakuwa wakubwa wakati kada nyingine kama walimu unakuta order yake ipo kabla hata ya kumaliza chuo.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Yawezekana mkuu, make yy nilivyomwangalia ni mtu mzima, kidogo kwa hyo yawezekana ujanani alikuwa kama hao anaowasema na ndo maana hawakemei.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Ndo maana nimeleta kwenu nilichokisikia, hata mimi niliposikia hvyo nikajiuliza hv kumbe hii kada ndo inaongoza kwa uzinzi. Lakini sikupata jibu ndo maana nimekuja kwenu nipate uhakika.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Wana jf, katika professional za watu na mahusiano nimekutana na kikao cha watu wakijadili hiyo mada. Wanasema kuwa wanawake wanaofanya kazi ya uuguzi(manesi) ni rahisi sana kutoka nje ya ndoa zao kulingana na nature ya kazi yao. Kuna mama mmoja naye ni nesi kwenye hospitali mojawapo ya mkoa hapa...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Msaada plz kuhusu The Guardian ya jana.(12/03/2012)

    Nashukuru sana wadau.
Back
Top Bottom