Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

Kivungu,tindiga,mbwade,mlegeni,ulaya,zombo,manyenyere,mamoyo,tende,mkata(kilosa kwa mkulo),ziginali(kilombero),pandambili,songambele,mtanana,makulu,hazina,kikuyu,(dodoma)
 
Nkundutsi (Kigoma - Kasulu), Nyamasovu (Kigoma - Manyovu), Mwandinga (Kigoma), Unga ltd (Arusha), Msamvu (MOrogoro), Kilongawima (Dar - Mbezi beach), Maji matitu (Dar - Mbagala), Kazuramimba (Kigoma - Uvinza), Mafiati (Mbeya -Mwanjelwa), Namanyele (Rukwa), Kibororoni (kilimanjaro - Moshi), Tuliani (Morogoro).
 
Kwa ujumla majina yote ni kituko ila tunayakubali kwa mazoea tu maana nimejikuta nacheka majina ambayo kwangu nilikuwa nikionaga ya kawaida ila leo ndo nimegundua kumbe bora yale ya Japani.

Mwidu-pwani, Kwedikwezi-Tanga, Ngurdoto, Kikatiti, Marangu, Kigurunyembe, Magadu
 
**** MOTO(japan), Mwembe Kiuno(Mtoni kwa aziz ali), mahakama ya mbuzi vingunguti, njia panda ya ulaya(Dar, airport), Ngeleja Bwabwa(Sumbawanga), **** Nkutombe(Kibondo), Vijibweni(Kigamboni),Panua Niingize(ngara),Mamba Miamba(same), Ishinde(same), Kifaru(Mwanga)Kiboro-loni(Moshi),Makorora(Tanga), Horohoro(Tanga)........
Humo kwenye * kuna herufi gani humo? Ungeweka hata herufi chache na * vingine tumalizie wenyewe, lakini hivyo tumashindwa hata ku-guess!
 
Kwa ujumla majina yote
ni kituko ila tunayakubali kwa mazoea tu maana nimejikuta nacheka majina
ambayo kwangu nilikuwa nikionaga ya kawaida ila leo ndo nimegundua
kumbe bora yale ya Japani.

Mwidu-pwani, Kwedikwezi-Tanga, Ngurdoto, Kikatiti, Marangu,
Kigurunyembe, Magadu

Malambamawili-MBEZI, Uda bovu-YOMBO, Sunna-MAGOMENI, Mabwepande.
 
Back
Top Bottom