[B][I]
Duh hii Kali! ni Kiongozi gani huyu aliyerukwa na akili mwaka 2014 bila kujulikana? kama yametokea haya basi hatari sana maana mtu anaongoza watu kumbe ni mwendawazimu?
Waziri keshakanusha Bungeni kuwa watuhumiwa hawakunajisiwa! sijui lini alifanya uchunguzi huo huku akitangaza tena kuwa watachunguzwa! mheshimiwa Waziri anajichanganya na kwa hakika anachojaribu kufanya ni kuwa huenda walionajisiwa wanatabia ya kupenda kunajisiwa na pia anatangaza rasmi kuwa...
Aliyekuwa waziri na mbunge wa moshi mjini 1975-1990 Muhidini Mfaume Kimario hatunae tena! tunamuombea pepo na kuwapa pole wafiwa. Kimario tutamkumbuka kwa kumaliza tatizo la maji moshi mjini miaka ya 80-90!
Kisheria UKAWA hawawezi kuitisha maandamano sababu sio chama cha Siasa kilichosajiliwa! na kwa mujibu wa sheria za Polisi vyama vya upinzani haviruhusiwi kufanya maandamamano kwa mkupuo kwa sababu za kiulinzi! hivyo inabidi maandamano yafanyike kwa kupokezana!
Kumbe maswali yako yote uliyotaka yapate majibu lengo lako ni kumdhalilisha Profesa Lipumba? we unaonekana unachuki zako binafsi dhidi ya Lipumba! kwa kukusaidia kujibu maswali yako kwanza huna budi kumwomba radhi Profesa Lipumba halafu urudi tena ukumbini lakini safari hii ukiwa na adabu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.