Recent content by kadilikansimba

  1. K

    Sababu zilizosaidia ndege ya Nkurunzinza isitunguliwe Bujumbura

    Excellent analysis, big up barafu!
  2. K

    Watangazaji wa Kili FM rudini shule mkasome

    Kili FM radio, mpasua msonabari, was my favourite radio at that time of my studies at lyamungo sec school, Halima Kassim was my favourite host, kiukweli hii radio ilileta mapinduzi ya kiburudani mkoani Kilimanjaro, but if the tittle of the thread is real, then the management has to take an...
  3. K

    Kitabu Kipya cha Mbunge Maarufu Aliyefukuzwa CHADEMA Hiki Hapa Live!!

    Hivi ni Alfu au Elfu? Alafu ni sahihi kuandika alfu kisha 15,000/- ili isomeke na kueleweka kama Elfu kumi na tano (15,000/-) huyu ni miongoni mwa wale waandishi makanjanja tulionao hapa Tanzania, shame on you!
  4. K

    Kifo cha CCM kimetimia

    Ignorance at its peak, stupid.....
  5. K

    CHADEMA Yasambaratisha CCM uchaguzi serikali za mitaa Mbezi

    hahahaaa.... umenifurahisha sana Mkuu......
  6. K

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    The rule of law, hivi hao wanasheria wa zzk walipoenda kuweka mapingamizi hayo hawakujua huo utaratibu uliokiukwa?
  7. K

    CHADEMA Yalaani kufukuzwa Chuoni Waziri Mkuu wa serikali ya wanafunzi Philipo Mwakibinga

    Siku hizi kila anapotokea mwanaharakati mwenye mrengo wa upinzani hususan chadema anàmbiwa anafanya aiasa chuoni ili kuua nguvu ya upinzani miongoni jamii ya wasomi vyuoni. Huo ni mtazamo hasi unaofanywa na viongozi wakuu wa chama tawala ili kujinufaisha kisiasa
  8. K

    Dr. Slaa kupanda kizimbani leo

    Mmh! This type of heading bhana, very stylistic way!
  9. K

    Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

    Lowassa Ana mvuto mdogo sana ndani ya ccm na nivigumu sana lowassa kupata ridhaa ya kupeperusha bendera hiyo ya kijani kuelekea ikulu, miongoni mwa wafuasi wakubwa wa lowassa ni wananchi wa kipato cha chino tena easily na weledi juu ya siasa bora kwa maendeleo ya Tanzania,
  10. K

    Natangaza kugombea ubunge jimbo la KARATU...

    Jaman huu uchaguz mwaka huu? Titaona na kusikia mengi, hata matonya angekuwepo angetosa ulingoni.....
  11. K

    Vijana 3 toka Geita waachiwa huru

    Kumbe walikuwa makamanda watatu tu? kweli policcm wameishiwa topic, kwa hali ilivyo sasa hata kamanda mmoja anaitesa ccm
  12. K

    Sinema za Tanzania utazijua tu

    Sinema zenyewe mitambo yakuzitengeneza inatokana na wafadhili/wahisani...
  13. K

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Jamani mwenye matokeo ya moshi mjini, hai, mosh vijijn, arusha mjin atujuze tafadhali, nayasubiri kwa hamu sana!
  14. K

    Lowassa avamia mikutano ya CHADEMA Monduli

    Sipati taswira nzur ktk sehem nying tz kuelekea 2015 general election, i can observe th criteria for th unfair election!
Back
Top Bottom