Dr. Slaa kupanda kizimbani leo

Dr. Slaa kupanda kizimbani leo

Aiseee..., midubwasha ya ccm inachekesa kweli, Yaani mtu mzima na akili zako timamu huku dushelele linasimama unasiamama mbele za kadamnasi eti unalalamika kuibiwa Mke..??!!!

What a joke...!!! We utakuwa shoga si bure ningekuwa mimi napiga kimya, Ni aibu kupindukia kwa mwanamume rijali kulalamika kuibiwa mwanamke.

Ni sawa na mwanamume kusimama mbele ya wakwe zako UCHI na lipododo lako huku dushee ikiwa imesimama..!!! aibu sana.

BACK TANGANYIKA
Ni ukweli mtupu as a man stands firmly! Eti jitu zima na ndevu zake! kunungunika ..Ameniibia mke kibaya unalialia ktk hadhara ni fedheha na kuaibisha wanaume wote duniani
 
Ushauri wa bure.Mtoa mada jifunze kuandika vizuri. Ungeamdika "Dr. Slaa kutoa ushahidi mahakamani" na sio "Dr. Slaa kupanda kizimbani" take that!!


BP

Mkuu nimenukuu heading ya gazeti lenyewe jinsi ilivyo.
 
vijana wa ccm huwa mnanifuraisha sana mlivyo wajinga!

Hawa vijana wa CCM ................. a banch of stupid and pathetic ------!! Badala ya kuhangaika na mafisadi wa Escrow wanahangaika na personal issues!! Wanaonyesha ni jinsi gani maslahi binafsi walivyoyatanguliza mbele kuliko Taifa!! They are forgetting that we're all travelling in the same boat................. when it sinks we all sink!! cc. Lizaboni, MSALANI and co!
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu humu jf akili zimewaruka,kila ukitaja mambo ya maendeleo wao kutetea ujinga na hoja chafu,hasa akina mjepo-simiyu yetu-faiza fox n.k

Napata hofu hawa kama ni wanadamu kamili au mazombie?
 
Aiseee..., midubwasha ya ccm inachekesa kweli, Yaani mtu mzima na akili zako timamu huku dushelele linasimama unasiamama mbele za kadamnasi eti unalalamika kuibiwa Mke..??!!!
hili limtu si ridhiki wanakunallii CDM ww mxiu
 
Itakuja siku tutaanza kupima kwa mizani yupi mwenye madhambi mengi na yupi anaweza kusimama mbele ya Umma, mwenye unafuu kuliko wengine.

Kwa maana hakuna asiye na kasoro nchi hii. Imekuwa fashion kuharibu mambo na kwenda kinyume na maadili. Wametuzoea wananchi ...................!!
 
Aiseee..., midubwasha ya ccm inachekesa kweli, Yaani mtu mzima na akili zako timamu huku dushelele linasimama unasiamama mbele za kadamnasi eti unalalamika kuibiwa Mke..??!!!
hili limtu si ridhiki wanakunallii CDM ww mxiu

Hahahahahah....ukanywe na maji kima wewe..!

Mwanaume mzima unasumama mbele za watu kulalamika kuibiwa mke.?? Dushee linafanyakazi wewe..??? Ngoja nimzukie mkeo huwenda naye analalamika kama wewe unavyomlalamikia Dr kwa kuchukua mke wa gamba mwenzio.!!!

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom