Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
mwacheni jamaa apumzike kwa amani
nani amekufa
mwacheni jamaa apumzike kwa amani
Acha uongo . Monduli Chadema haipo.
nani amekufa
kweli umelowa, yaani uko ndembendembe, CHADEMA wamesimamisha wagombea wa serikali za mtaa pale Monduli sasa wewe unasemaje CHADEMA hawapo Monduli? Acha ushabiki wewe punguani, mbona mnakera kama jini? Yaani ccm ni lazima mukae mwaka huu, nyumbu nyie.Acha uongo . Monduli Chadema haipo.
Hakuna mmasai anaeishabikia Chadema Monduli
Katika hali ya kushangaza mbunge wa Monduli mh.Edward Lowassa ameingilia ratiba ya mikutano iliyopangwa kwa ajili ya kampeni za serikali za mitaa na kufanya mikutano ya chama chake maeneo ambayo CHADEMA ilipaswa ifanye mikutano.
Leo katika kijiji cha Losirwa kilichopo kata ya Eslalei vijana wa CHADEMA walishtushwa kuona CCM wakivamia na kuanza kufunga vyombo na vifaa vya kampeni kwenye eneo walilokuwa wakiliandaa kupigia kampeni kwa madai kwamba mbunge ndiye anayekuja kuhutubia huku wakijua fika kwamba ratiba haiwaruhusu.
Viongozi wa CHADEMA walipolifikisha suala hili kituo cha polisi Mto wa Mbu OCS wa kituo hicho alijaribu kuwasiliana na mtendaji wa kata na mtendaji wa kijiji ambao wote waligoma kutoa ushirikiano kwa madai kwamba wapo wilayani Monduli.Hata hivyo viongozi hao wa CHADEMA walishangazwa sana na kauli ya OCS huyo kwamba mbunge ana haki ya kufanya mikutano bila kujali ratiba.
Juzi pia mh. Lowassa aliingilia ratiba ya mkutano wa CHADEMA uliokuwa ufanyike Mto wa Mbu na hivyo CHADEMA kulazimika kutumia siku iliyofuata ambayo ilikuwa ndiyo ya CCM katika ratiba. Uongozi wa CHADEMA wilaya ya Monduli tayari umeshafikisha malalamiko katika ofisi ya mkuu wa wilaya leo kuonesha kutoridhishwa kwake na jinsi mbunge huyo anavyokandamiza demokrasia wilayani Monduli.
Mbunge huyo anahaha kukinusuru chama chake wilayani Monduli baada ya chama hicho kuzidiwa nguvu na CHADEMA wakati mbunge huyo alipokuwa nje ya nchi.
Wiki iliyopita pia uongozi wa CHADEMA wilaya ya Monduli uliiandikia ofisi ya mkuu wa wilaya barua inayoelezea njama na hujuma zinazopangwa juu ya viongozi na wagombea wa CHADEMA wakati huu wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
kuna watu wanatembea lakn kumbe tayr washatangulia
Chadema monduli? Hahahahah achen kutafuta maujiko hakuna anayeweza kusimama akaongea monduli zaidi ya lowasa
Sipati taswira nzur ktk sehem nying tz kuelekea 2015 general election, i can observe th criteria for th unfair election!
Bila shaka hii ndiyo post ya kimasikini na ya kichovu kupita zote kwa mwaka 2014 ! Very poor .
Monduli nakujua wewe kuanzia kisongo, duka bovu , lekisale, losimingori, waya , tma, chuo cha ualimu, huwezi kunidanganya dogo
Mapovu ni kielelezo cha kuelemewa na hoja .Poor ni ndugu zako walioko kijijini wakitegemea mvunje amani ya nchi yetu kwa madai mnatafuta haki,tunaitaji demokrasia ya kweli lakini chadema jipangeni tena sana!
CCM wanatumia mabavu sana kwenye hizi kampeni.
Poor ni ndugu zako walioko kijijini wakitegemea mvunje amani ya nchi yetu kwa madai mnatafuta haki,tunaitaji demokrasia ya kweli lakini chadema jipangeni tena sana!