Hapana Mimi naamini Mungu Bado yupo na sisi....nikama kipindi cha Wana wa Israel walipofika hatua ya kuanza kujitengenezea miungu yao wakiamini ya kwamba Mungu kashawaacha kumbe ni Mungu anawapitisha ktk mitihani na mwisho wa siku Mungu alijitwalia sifa na utukufu kwao....vivyo hivyo nasi...
Ni kweli kabisa Mh Sigrada kaongea ukweli kabisa ,ni kweli Bunge ni chombo kinachotumia pesa nyingi sana apa nchini lakini hakina msaada wa moja Kwa moja Kwa Wananchi na Taifa Kwa ujumla.
Wanaohusika na maswala ya mipango miji pamoja na Tanroad tunaomba mtuondolee stendi ya mabasi apa NATA kwani ndo chanzo cha Foleni katika Barabara ya Nyerere, just imagine foleni ya magari inaanzia buzuruga ,unakaa barabarani mpaka muda wa kazi unakuishia ukiwa kwenye jamm.
Lakini hata pawepo...
Kumbuka mpaka Leo kule mazimbu morogoro ndiko kulikokuwa na kambi yao ya kupigania uhuru.....ni jinsi Gani hizo nchi ziliwajali sana na kuwapa ushirikiano mkubwa sana kipindi hicho....
Zama zile Tuliitwa Ngedere na wengine wakadiriki kutumbia ya kwamba tuamie Burundi, lkn zama hizi tunaitwa Nguchiro.
Jamani wanasiasa punguzeni zarau na kujiona ya kwamba mmefika climax au untouchable....Mimi uwa Nina amini malipo uwa ni apa apa Duniani.
Unatumia Kodi za nguchiro na Bado...
Ni masikitiko makubwa sana Kwa kuona zile harakati zinazofanywa na wazawa wa nchi ya Afrika Kusini dhidi ya ndugu zao Waafrika wanaotoka katika nchi mbali mbali hasa zile nchi kama Ghana, Nigeria, Ethiopian, Zimbabwe, Tanzania wanasahau kwamba bila ya hizo nchi Leo Afrika Kusini kungekuwa na...
Hata kama siyo kweli ni AI lkn ndo uhalisia wa Barabara zetu nyingi za Tanzania hasa uku Bara....maana Hali za Barabara zetu zimekuwa mbaya sana.
Na zaidi zinachangia kukwamishwa Kwa maendeleo apa nchini hasa kule vijijini tunakotoka sisi Wananchi wa kawaida.
Ni masaa tu yamebakia tunasubiri iyo ripoti...lkn Bado kuna kazi kubwa sana ya kufanya hata kama tutasikia maneno kutoka Kwa iyo tume yawe hasi au chanya....Bado kuna namna viongozi wa nchi hawajui wafanye nini juu ya hili Taifa kusudi liweze kusonga mbele kutoka kwenye huu mkwamo.
Kwa ufupi...
Afrika tuna rasilimali nyingi sana kiasi kwamba hatujui umuhimu na matumizi ya vitu tulivyo navyo na hata vinavyotuzunguka.....
Kingine ni kwamba Wachina kulinganq na wao kule kuwa na teknolojia kubwa na kiwango cha utafiti kwao ni kubwa sana kiasi kwamba wanaajikuta wanawiwa kutoka nje ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.