Recent content by kadeti

  1. kadeti

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Tupia nyingine Baba....km ulivyotuahidi...
  2. kadeti

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ahaaaa watu tunasubiri episode mpaka Sasa hatujalala, ndo unakuja na hizo swaga....daa ujuwe weekend hii kaka..unatupa majaribu kinoma.
  3. kadeti

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwakweli anajitahidi....
  4. kadeti

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwaiyo insider ni Mzee wa kugawa wastani kwa idadi....nimeipenda iyo
  5. kadeti

    Nimechoka kusindikiza wenzangu kwenye madini

    Pole Sana bro km nakuona vile ulivyokata tamaaa, kwa ufupi tu Mtangulize Mungu kwanza ndo uje ufanye maamuzi
  6. kadeti

    BoT ichunguzeni Benki ya NMB inawanyonya wakopaji

    Sasa kama waziri mwenye dhamana mwenyewe anaulizwa maswali ya kiuelewa na spika bungeni kuhusu mikopo Kaushal Damu hanajiumauma tu, anaulizwa Je Kuna ukomo wa riba ni ngapi....? Ni full kujiuma uma no majibu ...
  7. kadeti

    Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

    Mmnaandika msivyovijua...
  8. kadeti

    Kwanini Hayati Magufuli alikuwa hapendwi jimboni kwake?

    Raisi Magufuli hakuwai kuwa na Jimbo alipokuwa Raisi wa nchi, majimbo yote yalikuwa yake na aliyahudumia yote...na alipendwa na majimbo yote...
  9. kadeti

    CCM na Muungano vyote havitakiwi na Wazanzibari; kwa nini wanalazimishwa?

    Nikuambie Kitu kwa akili za wazanzibar tukiwaacha wakabaki peke yao nakuambia watatengana visiwa wale jamaa. Km umeshawai kuishi Zanzibar hasa pale Kisiwa Cha unguja wale waunguja hawawapendi Sana wapemba, na wanawaita kwa dharau Sana hasa pale wanapokutana wao kwao, na mbaya zaidi...
  10. kadeti

    Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

    Yahani Watanzania hata hawajui wanataka Nini....? Yahani ukisoma hizi comments humu ndani yahani unasikitika tu...sijui tumekuaje jamani. Anyway Mungu atusaidie.
  11. kadeti

    Kuoa mwanamke mwenye kipato cha juu ni kijitafutia stress

    Hakuna mapenzi apo....usingle Maza ushamnukia uyo ...
  12. kadeti

    Ziwa Victoria limeongezeka, maji yamekuwa mengi sana

    Yasadikika ziwa Victoria limeongezeka maji, Kutokana na hizi Mvua za mfululizo, kudhiirisha ayo maeneo ya pembezoni mwa ziwa maharufu kwa jina la miyalo yote yamemezwa na maji na maeneo mengine km Apa mwanza Barabara inayopitia kwenye jiwe la Bismarck pamoja na ile bustani yote ipo ndani ya...
  13. kadeti

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Hivi Insider ile familiya ya uncle wako wa kitambo mbona hatuisikii na mama Yuko Mjini ..
Back
Top Bottom