Sasa kama waziri mwenye dhamana mwenyewe anaulizwa maswali ya kiuelewa na spika bungeni kuhusu mikopo Kaushal Damu hanajiumauma tu, anaulizwa Je Kuna ukomo wa riba ni ngapi....?
Ni full kujiuma uma no majibu ...
Nikuambie Kitu kwa akili za wazanzibar tukiwaacha wakabaki peke yao nakuambia watatengana visiwa wale jamaa.
Km umeshawai kuishi Zanzibar hasa pale Kisiwa Cha unguja wale waunguja hawawapendi Sana wapemba, na wanawaita kwa dharau Sana hasa pale wanapokutana wao kwao, na mbaya zaidi...
Yahani Watanzania hata hawajui wanataka Nini....?
Yahani ukisoma hizi comments humu ndani yahani unasikitika tu...sijui tumekuaje jamani.
Anyway Mungu atusaidie.
Yasadikika ziwa Victoria limeongezeka maji, Kutokana na hizi Mvua za mfululizo, kudhiirisha ayo maeneo ya pembezoni mwa ziwa maharufu kwa jina la miyalo yote yamemezwa na maji na maeneo mengine km
Apa mwanza Barabara inayopitia kwenye jiwe la Bismarck pamoja na ile bustani yote ipo ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.