Mbona Magufuli amenyamaza kimya licha ya malalamiko mengi yanayoelekezwa kwa udart? Hapa pana harufu ya upigaji mkubwa sana wa wakubwa, mana hata waziri alipapasa tatizo halafu kimyaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite alipata zero na likwidi faya anatenda kiziro ziro tu, wote walikuwa mhimu kwenye harambe ya kutokomeza zero.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichokufanya ushindwe kujibu maswali ambayo umesomea kwenye field yako nini? Kwanini unakata misaada ambayo si ya fedha moja kwa moja?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yapo matapeli mawili humu, moja linamsapoti ili kuwaingiza mkenge wana jf, kiufupi ukianalyse mjadala huu, ni dhahiri huyu kijana ni tapeli kwa asilimia mia.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.