Hakuna kazi ya kijinga km ualimu mkuu.mimi mwenza wangu alikuwa Mwlm mkuu nlipambana aachane nao maana Hadi mshahara wake ufanye majukumu ya shule kisa posho ya laki mbili.kwanza labda Kwa wamjini ila vijijini ni utumwa mwl mkuu anatukanwa na mratibu anatukanwa na wazazi anatukanwa na afisa...
Acha wadanganyne ila LGS ni Mahalia safi sana kujiendeleza kielimu na kipato ukiwa kata za pembezoni hakuna anaekufuatilia na maisha yapo poa sn hasa maendeleo ya Jamii watendaji na mifugo yaan wanamuda hatari
Mimi nlikuwa nambishia mtu akanitumia hapo TU maana niliomba maudhui na kwetu watakaosaili watu wapo watano n kuwa tumekatwa kimkakati maana vijiji vipo vinne
Habari za jioni wanaforum.
Naomba msaada wa anaejua suluhisho la mchwa nyumba Iko kwenye kichanga lakini mchwa ni wengi Sana ndani kumepigwa tairizi lakini bado tafadhari ndugu zangu anaejua dawa anisaidie.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.