hivi wanawake wakorofi wanapatikana wapi natamani nimpate mmoja wakumtia vitasa maana huyu ma mtu hata nkimpiga kofi najisikia vibaya naona kama nmemuonea tu, nilidhani wakurya ni wakorofi kumbe wapi njoo nikiutie vitasa mpaka uenjoy ila sikuui sitakikesi
Niqqas knows kila kichwa na mantiki yake, hujiulizi ni kwanini pac na big walikuwepo wengi,
sema sipendi kuwapambanisha hawa mabraza kila mmoja ana mchango wake, kivyake
Nisije kujuta jamani Nina mpango wa kununua hii simu Nokia XL ila sijajua ubora wake na uzuri wake kiujumla mi nimeipendea size yake na kimuonekano kiujumla naomba wazoefu mnieleze ubora wake especially display na muonekano wa videos, msaada please nisije kujutia baadae.
Ha ha ha mi pia Nit ila hatutowezana coz nakula lager na liquor za kila aina, ganja mara mojamoja nikiwa na stress, natupia ugoro km sitaki kunywa kwa mda huo, unga tu na sigara ndo situmii kwa hyo hatutawezana labda freddie boy
Nlikua na mpango wa kubadil kuchukua mechanical pale nafikiri pamoja na changamoto ila kitabu knaweza kwenda vizuri kwasababu naona mech ina uwanja mpana kuliko automobile au unanshauri vp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.