geniusbaraka
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 795
- 155
hii kozi inahusika na kilimo cha maua na mboga mboga wanavyodai ina uwanja mpana ktk kujiajir na pia unaweza pata ajira ktk makampun na ktk Ngo's mbalimbal
nina wax wax na iq yako
hii kozi inahusika na kilimo cha maua na mboga mboga wanavyodai ina uwanja mpana ktk kujiajir na pia unaweza pata ajira ktk makampun na ktk Ngo's mbalimbal
nina wax wax na iq yako[/QUOTE
wise men speak b'se they have something to say bt fools b'se they have to say something, and i can see u're among such fools
nina wax wax na iq yako[/QUOTE
wise men speak b'se they have something to say bt fools b'se they have to say something, and i can see u're among such fools
Nina Wax Wax Mkubwa Xana Juu Ya Iq Yako. Ur Below Avarage
Usijari kijana mie nipo hapo NIT naingia mwaka wa 3 sasa hapo!!!
Ni koz nzuri kwasababu magari mengi ya sasa yanahama kutoka mechanical mpaka computerlized kwahyo gereji bubu zinatoweka taratibu kwahyo inafanya kuanzishwa kwa sekta rasmi kabisa katika eneo hili.
kwahyo kuhusu ajira sio lazima uajiliwe hapa kaka kwasababu U can alwayz build Ur name from the ground Up.
Koz hiiinahitaji sanaa utendaji zaidi ya polojo za kisiasa unapewaa tatizo rekebishaa huwezi mteja anakimbiaa iko hvyo.
Karibu Auto-Nit kaka.
Mungu akisema ndio/hapana hakuna ubishi kwahiyo ukipata chuo kasome ukiwa unamuomba Mungu
Kama huyo dogo ndo anaingia mwaka wa kwanza atalipia hiyo NTA level 7 kaka!!!!Ok, ebwana kuna dogo lasi kamaliza form six kapangiwa NIT(Bachelor of automobile engineering), sasa nikiangalia mchanganuo wa ulipaji wa naona NTAs level nying mpaka ya 8, kwa kuwa una ufaham juu ya mambo hizo, huyo dogo atakuwa level gan?
Kama huyo dogo ndo anaingia mwaka wa kwanza atalipia hiyo NTA level 7 kaka!!!!
Kwa Mechanical ni koz changa pale Nit haina muda sana imeanzishwa mwaka 2013 kwahyo si ya muda sana. Unajuaa kitu chochote ambacho ni mwanzo hakikosi changamoto zake..Vp mechanical hapo iko vp je ni miaka mitatu pia kwa waliotoka form 6
Kwa Mechanical ni koz changa pale Nit haina muda sana imeanzishwa mwaka 2013 kwahyo si ya muda sana. Unajuaa kitu chochote ambacho ni mwanzo hakikosi changamoto zake..
Watu wa form 6 wanasoma miaka 4 lakini wenye diploma ndo miaka 3 mkuu!!!!!