Kweny fridge hakuna kitu kinaitwa mtungi ila sema compressor, na gas kweny fridge huwa haiishi na ukiona imeisha jua ina leakage sehemu,.. Na pia fridge kutogandisha sio mpk iwe gas inawezekana ikawa tatizo lingine like compressor haitembei au relay au overload mbaya so ni vizuri muite fund...
Kwa kifupi gas huwa haiishi kweny kifaa chochote kinachotumia gasi I mean Ac,.car Ac, refrigerator nk otherwise iwe ina leak na ukiona imeisha jua ina leak somewhere so lazima uzibe leak ndo u refill
Hakuna material ya kuziba evaporator ikitoba,..utakutana na fundi njaa atakuzibia kwa kutumia super glue na unga but hatadumu muda mrefu coz pressure ya gas ni kali sana so lazima ivuje tena but km inaweza kutoka ndani ya fridge unaweza kuichoma kwa kutumia aluminium stick na ikawa poa
Baada ya kumaliza chuo nikaona mambo hayasomeki nikaamua kurudi tena chuo lakini mara hii VETA nikawa napiga evening class ya Air conditioning,..nikapiga pale miezi sita darasani baada ya hapo nikamtafuta mshikaji mmoja alikuwa anafanya kazi Samsung akaniunganisha pale nikawa nafanya vitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.