majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 453
- 628
Huu ndio ushauri mzuri, safi sana, tupa au mbabatize mtu hata kwa alf 50, nunua lingine..yako mpaka laki 2 na nusu...Tupa nunua jingine, sikuhizi yapo mpaka ya laki 3, usilipeleke kwa fundi tafadhali maana likipona lutaongeza hewa ukaa angani.