Jibu ni 20
Kwa kuwa:
Kiatu kimoja ni sawa na 5
Mtu mmoja ni sawa na 5
Filimbi moja ni sawa na 2
Kwa hiyo Viatu 2(5*2)+(mtu 1(5*1)*filimbi 1*2)
=10+(5*2)= 20
Hizi ni statement za kuandika tu kama yeye kweli kwa nini asiitishe press conference Mara tu baada ya kwenda Ikulu au hata baadae. Yaliyoongewa kuleyatakuwa bado ni Siri Kumbuka huyu ni Waziri Mkuu Mstaafu hawezi ongea ongea hovyo hovyo hivyo
Mimi Nadhani badala ya kulalamika tumetukanwa ilitakiwa tuchambue kila hoja kwa vielelezo tuseme kweli si kweli. Mimi binafsi kuna mambo mengine nakubaliana naye ingawa si yote. Mm namshukuru kwa kutuvua Nguo hadharani ili tujione tulivyo je Tuko sawa kabisa au tunamatatizo. Hata Raisi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.