Kwa heshima na taadhima naomba kushauri suala la elimu kwa nia njema maana yake inaenda kuwa chakavu na mbaya kutokana na upungufu mkubwa wa rasilimali watu (waalimu) katika shule nyiingi ukianzia shule ya Msingi mpaka Sekondari.
Hali ni mbaya mashuleni kuanzia shule ya msingi kwani kuna...
Mhe: Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Popote ulipo amani ya bwana iwe.
Kwa heshima na taadhima ninaomba kutumia fursa hii kukushauri kuhusiana na watumishi hewa na watumishi waliokuwa na vyeti feki (makanjanja). Nikianza na watumishi hewa (non existed workers) hawa hawatakiwi...
Rais theodora obiang atimizi miaka 40 madarakani.Aliingia madarakani mwaka 1979 kwa kumpindua mjomba wake na kisha alimnyonga.Anasifika kwa ukatili na ufisadi mkubwa kwani amejilimbikizia mali za kutosha.Pia hukusanya waganga kona na pande zote nchini mwake kutambikia ikulu.Waganga hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.