bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,114
- 20,003
Badala ya kushughurikia mambo ya muhimu, uchumi kuwa hivi, gharama za maisha kuwa juu, mnakimbilia vitu vya kipuuzi!!kuna mambo mengine huwa yanapungua yenyewe tu endapo hali ya uchumi ikiwa nzuri, ila sio kuisha kabisa, na kuisha haiwezekani, hata atumie JWTZ.Iwapo unapenda vijana na taifa lao Basi huna budi kupiga marufuku kamari zote nchini kwani ni ukoloni hata Kama wanatulipa Kodi wanazoa fedha nyingi sana.pia pombe hasa kali hizi portable spirit hazina tofauti na viroba ni janga linaloua vijana wengi piga marufukuu.kisha ukemee uasherati wowote kuanzia biashara ya umalaya ya kuuza mwili peleka Askari maeneo Kama kambi ya fisi,sudani,mwananyamala n.k wakasafishe maeneo Yale Kisha tangaza nchi nzima biashara hio ikome pia anzisha kampeni ya kitaifa kuwakataza na kuwaonya watu kuangalia picha za porno (x) katika mitandao.mimi nakuja kusema na kuitetea kweli na ntakuja kukwambia mengine mengi.
Kumbuka kipind cha rais kikwete kila mpinzan alisema nchi kubwa haina hata Airbus moja ina kandege kamoja ten kadogo mhhh jmn Leo hii ndege zipo za kutosha maneno ten onhoo lami mbovuuu hahahahaaaaaaaaa This is Tanzania hahahaaaaa naipenda nchi yanguKumuunga mkono rais, si suala la matakwa ya mtu ni suala la kikatiba na kisheria. kwa hiyo wote tunamuunga mkono ndio maana tunatekeleza maagizo yake yote kwa utimilifu.
Wasiwasi wetu ni kununua ndege hali ya kuwa barabara zetu zinazounganisha wilaya ni mbaya mno, kutokuajiri, kuwanyima watoto wetu mikopo, kutumia fedha za dawa kununua wapinzani? kupotea kwa watu nk, nk.
Bado tunamuunga mkono, tutamlinda, tutamtunza lakini na yeye afikirie haya malalamiko.
Kagombee wewe tuone Sera zako na maendeleo yakoKipepeo Tours,
Hakuna lolote niambie umefaidika nini mpaka mda huu, kuwa muwazi tu, maana maendeleo hayo unayo yaongelea ni ya rais wa awamu ya nne na yametekelezwa awamu ya tano maana muda ulikuwa sio rafiki kwake, ila ki ukweli mimi sioni alichofanya mpaka sasa zaidi ya kudidimiza mambo