Recent content by kabwe makanika

  1. K

    Gekul amepata nafasi ya kusikilizwa?

    Legal point of view yea uko sahihi but politically nadhan kuna taarifa anazo au amepewa mama zilizopelekea utenguzi…. Uliiona clip y’a KATIBU mkuu wizara y’a maji aliyetenguliwa…. Same desease ulezi wa madaraka na allogance
  2. K

    Kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup

    Nadhani hujamuelewa
  3. K

    Gekul amepata nafasi ya kusikilizwa?

    Sahihi, mengine ni porojo tu
  4. K

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Hapo kwenye milele umekosea… wewe unaamini dini huwezi sema hawaamshwi tena milele
  5. K

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Sio usingizi sasa huo, wewe uliweka hoja y’a kulala na kuamshwa umehamia kwenye kifo….mijadala haiendi hivyo
  6. K

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Sometimes kelele za watoto huniamsha unasemaje hapo… weka bas hoja kidogo sio hizi mambo
  7. K

    Ndugu zangu tusalini sana kama ni kuloga mjizindike sana

    Thanx, nimejiuliza hayo pia.. huyu ni aina y’a watu wanabeba stori tu bila hata kujiuliza
  8. K

    Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

    Hata mimi sijui tusaidie kwa faida y’a wengi
Back
Top Bottom