jaman wananchi wengi mnapenda kulalamika pasipokua na ufahamu.kikawaida unatakiwa kuchukua bank statement yako kila mwisho wa mwezi ambayo ni bure kabisa lakini ukichukua kati kat ya mwezi lazima uchajiwe na unichukua zaidi ya mwezi mmoja lazima uchajiwe.muwe mmnauliza haya mambo wakati wa...
mwanza mjini mtandao wa inyernrt mbovu sana.kufungua picha tu umetumiwa whatsapp ni issue.kutuma picha au video ni kazi sasa ku download ndio balaa kabisa.mwanza ni jj kubwa jaman jitahidin bas kuweka mtandao wa internrt ambao upo vizuri
kazana kusema diamond kashuka wakat mwenzio mtvbase wimbo unapigwa.hao waliopo juu nyimbo zao zimefika huko?acha kumuombea mabaya kijana wa watu eti mr nice anamsubiri kona baa.mtasubiri sanaaaaaaa wimbo mzuri sanaaaaaaaa
umeongea neno!maana watu wanabwabwaja tu na lawama nyingi.kwa hadhi na status yake anastahili kwenda popote kutibiwa.nyie mnaopinga rais kutibiwa marekan kama kwel ni wa zalendo huwa mnaenda kutibiwa hospital za kwenye kata zenu?jibu ni hapana.kila mtu huwa anatafuta pale anapoona patastahili...
wewe nani kakuambia wakurya hawana hela?kanda ya ziwa sasa hivi wafanya biashara wakubwa ni wakurya.zaman tulizoea wachaga wameshikilia busn lakn kwa sasa wakurya wapo juu sana kibiashara.
mdau mtoa mada nadhan wewe ndio mwenye makosa.mie nilipoteza hiyo card ya benk yenye picha lakin niliendelea kupata huduma kama.kawaida sababu picha zipo kwenue system.inawezekana hukuelewana na wafanyakazi wa benki.siamini na sitaki kuamini umejibiwa hivyo.hukuwa muwazi wakat wa...
wanaume muwe wabunifu ili wake zenu wawe wanaridhika maana hawa dijitali wakikamata mke wa mtu wanajipinda hasa sasa mama lazima adate.nyie jifanyen wastaarabu faragha wenzenu ni fujo kwenda mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.