Alisababusha niwe mpenz wa real madrid hadi sasa
Kuna mechi moja alifunga goal akavua shat akawatupia mashabiki akanogewa, akavua bukta akataka kuvua mpaka chupi [emoji23][emoji23]
Ingekua ni bonge la program ingekua tuna viwanda vinavyowekeza kwenye kudevelop dawa mpya
Ila viwanda vingi Tanzania huwa vinafanya kazi kama franchise au kutengeneza dawa zilizokwisha muda wake huko duniani so they don’t need to invest in R&D anymore
Kama lengo ni kuajiriwa bora ukasome MSC chemistry
Maaana hizo R&D institute tunayo NIMR nayo haipo effective kiivo
Mm nafikiria kusoma msc medicinal chemistry ila upande wa traditional medicine (hii wanatoa hata muhas)
Ila najaribu kucheki kama itakua na manufaa kwangu hususani kwenye swala...
Well
Mafuta ya nazi ni triglycerides ambayo ikifunjwa vunjwa unapata glycerine hii ipo ndani ya dawa ya meno
Baking powder ni sodium bicarbonate ambayo itakuja kuleta sodium hydroxide ilioko ndani ya dawa ya meno ya kisasa
Stevia ina stevial a glycosides which is up to 150 times the sweetness...
Wakuu mwenye vitabu vifuatavyo au ajuaye jins na wapi kwa kuvipakua atusaidie
Business school for people who likes helping people by Kiyosaki
2. What works on a wall street by James P. O. O’shaughness
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.