Maji yamelowana

Maji yamelowana

Mi huwa najiuliza Tiss na Jw ni mazombie au wenyewe sio wananchi wa Tanzania! Ndio matatizo ya darasa la saba na form four failures kuwa kwenye sehemu nyeti.
 
Ila hii nchi inakoelekea, ni Mungu tu ndiye anayejua. Naamini hata Chifu Mangungo na mdogo wake Mangungu, hawajui wanako tuoeleka.
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Vumbi limechafuka
 
Mtu kashaenda kuchuma busara kwa uncle we huna chako,kwanza shukuru Allah mpaka sasa dsm bado kuna mtu kama wewe.
 
Taifa halina dira kila anaekuja anakuja na yake lazima tuone tofauti!. Walinda mipaka mi huwa nawashangaa hivi unawezaje kulinda pembeni yako nawakati katikati yako inaliwa!..
Wanawake wa kichaga wachepukaji huwa wanasema " kula pembeni pembeni katikati muachie Masawee...wakinogewa wanasema kula yoote Masawe atakula mafi yake"

Hapa nako wanamega mdogo mdogo wakikolewa tunauzwa jumla cc Ndugai.
Mshana Jr
 
Wanawake wa kichaga wachepukaji huwa wanasema " kula pembeni pembeni katikati muachie Masawee...wakinogewa wanasema kula yoote Masawe atakula mafi yake"

Hapa nako wanamega mdogo mdogo wakikolewa tunauzwa jumla cc Ndugai.
Mshana Jr
wakinogewa wanasema kula yoote Masawe atakula mafi yake"
 
Ndani kuna watu wanajiita "wasalama". Simaanishi Sungusungu, yaani ni watu wa ndanindani huko deep. Lakini hata huo Usalama wao haujulikani ni Usalama wa nini. Kwa nchi nyingine hawa ndo wangerekebisha kukubali au kukataa madudu ya ndani, kurekebisha au kunyoosha makandokando. Lakini hawa wa kwetu wapo, wapowapo tu ni Bora Sungusungu wa Buchosa wangepewa hii kazi.
Huko wamejaa kijani, sifa na mapambio kusaka teuzi
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Haya mambo huenda yana mlolongo ambao umechezwa kama chess. Fikiria kwa undani. 1. Alianza kufariki Mkapa. 2. Akafuata Magufuli..... 3: malizia kwa kuangalia hii clip hapa
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!

Mbwa kala Mbwa. Ni suala la Muda Mbwa atakula Mbwa.
 
Tukiwaambia utumwa unarudi hawaelewi, hasa wale wazee wa kusifia kila kitu na wale vibaraka wa sa.

WaTz ikitakiwa tuwe macho awamu hii na nyakati hizi kulko nyakat zozote zile maana huyu kiongozi wa sasa kaingia ki......, na anavyowapenda mataifa ya kizungu&kiarabu basi tujue thaman ya mtanzania itakwisha kama sio kununulika na hao mabepari&mabeberu.

Ni ubishi tu ila maneno ya ndugai mtayafanya reference siku yakitimia maana tuendako ni kubaya na viongoz wenu wanaficha ficha mambo kwa manufaa yao, ila ni suala la muda tu......
 
FB_IMG_1656115419187.jpg
 
Mzee Shamte hakupaswa kushambuliwa kwa kipigo bali hoja zake zingejibiwa kwa hoja!
Kama ni kweli visiwa vile vinataka kukodishwa kwa mkataba wa umri wa mtu hatuoni kuna shida pahala?

Mbona hii nj kama kata funua na tikitaka? Who is behind this featuring maana huku Ngorongoro kule visiwa. Twafaaa!

Sitaki kusema mengi yasijekunikuta ya mzee Shamte (84) Lakini ni wazi MAJI YAMELOWANA

Baada ya tour du loyale sasa hayawani hao on the Broadway to Uman! Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!

Deal done! Yakitoka Ngilongilo kula nyama choma hayoo visiwani kushusha na supu ya pweza ngisi na karamali!

Tumepigwa na kitu kizito mnooo.. Halafu kotekote! Mangungo wa Msovero is reincarnated. What a pitiful painful loss! To have this dude back to life!

Maji yamelowana. Yakikauka! Tutaimba hallelujah! Sio ile kuu lakini..!
Hivi ni kweli kwamba hawa ni wa shina moja? Yaani ni kaka na dada!?

Fruits of the loom!
Clueless Mangungo reincarnated? How now?
Let him rest, your problem lies with people who are supposed to rest but don't want to rest.
 
Clueless Mangungo reincarnated? How now?
Let him rest, your problem lies with people who are supposed to rest but don't want to rest.
your problem lies with people who are supposed to rest but don't want to rest.
That's another way of reincarnation
 
Back
Top Bottom