Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,119
- 829,006
- Thread starter
- #61
Mi huwa najiuliza Tiss na Jw ni mazombie au wenyewe sio wananchi wa Tanzania! Ndio matatizo ya darasa la saba na form four failures kuwa kwenye sehemu nyeti.
Zanzibar kukodisha/kuuza visiwa vyake: Iko vipi?
Habari zimetapakaa kuwa Zanzibar inauza visiwa vingine 9 mwaka huu, baada ya mwaka jana kuuza 10 kwa thamani ya $ 261.5 milioni! Kuna utatanishi ikiwa visiwa hivyo vinauzwa au vinakodishwa, kiasi wana habari wametumia istilahi zote mbili hizo. Wakuu wanasema wanakodisha. Kwa uzoefu wangu...

Haya ndio matunda yake!? Maybe fruitless or rather fruits of the loom! Period!




.