Mkuu hii nyara iliyomaanishwa hapa ni noah sio kingine. Siamini mkuu anakusudia ni twiga au simba au tembo. Huyu ni nguruwe tu mkuu. Nguruwe hafai tu kwa namna yoyote ile.
Kwa morombo ni sehemu salama sana la muhimu ukiwa unapita kwenye yale mabanda hakikisha unachagua nyama za moto yaani ukiangalia nyama unaiona kabisa hii nyama ni nzuri.
Mkuu nguruwe si nyama nzuri yale mafuta utakua kama nguruwe ma ma e zako acha usengerema wa kula hiko kiumbe kilichoharamishwa.
Mbona uandishi wako mbovu hivi ???. Accounts utaiweza kweli au 6 utaweka 9 kwa manjonjo na lwa style hiyo kuwa makini sana usije "ukadisco" semesta ya kwanza. Pumbafyu
Muhindi mmoja hivi anatumia namba ya voda. Niliona fb nambake nikamtext ila kakataa katu kutoa notes nilikua nataka softcopy anataka hadi ninunue software. More than 4.5m tally ambayo sio cracked multiuser
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.