Habari wakuu!
Niwazi kuwa vijana wanapitia changamoto za ukosefu wa ajira licha ya kuwa na sifa za kuajirika. Wimbi la wasomi linazidi kuongezeka ilhali namba ya waajiri ikiwa pale pale ua kuongezeka kwa kiasi kidogo.
Je, tatizo ni kwamba hakuna nafasi za kazi au waajiri hawawezi kumudu idadi...
Kwa ambao hamjawahi kuletewa mapichapicha na wazee wenu mnaweza chukulia poa. Mimi ni mmoja wa wahanga nakushauri mkuu shtaki hilo zee huna kosa wala laana yeyote hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.