Mkuu mimi mdogo wangu akaunti yake ya CBE inaonyesha kuwa amechaguliwa huko ameambiwa afanye malipo ya awali na aripoti chuo tarehe 23,lakini kwenye list iliyotangazwa na chuo hicho jina lake halikuwepo!kuwapigia akajibiwa listi ilikosewa,naomba maoni juu yahili.
Inapotokea dharura na ndege inatakiwa itue na hamna uwanja karibu best option inatua kwenye maji na sio porini ndio maana ndege zote zina life jackets.
Pia kuna matundu ya kutolea maji ndani ya kivuko kama yatakuwa upande huo uliopo nje ya maji kunauwezekano yakasaidia kuingiza hewa ndani japo ni kidogo.
Pia kuna matundu ya kutolea maji ndani ya kivuko kama yatakuwa upande huo uliopo nje ya maji kunauwezekano yakasaidia kuingiza hewa ndani japo ni kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.