Recent content by KabangaSon

  1. KabangaSon

    Kampeni ya kuikataa Vodacom

    Airtel ndo habari ya mjini
  2. KabangaSon

    Mtu akipungua uzito au kukonda, nyama na uzito huenda wapi?

    Du mkuu ilikuwa kuwaje mpaka ukawaza hivo??
  3. KabangaSon

    Si nina ibiwa hapa??

    Lea tu mkuu you never know anaweza kuwa Diamond ajae so far kulea mtoto mpaka awe mtu mzima ni kama fadhira tu otherwise tulitakiwa kuwa kama kuku au ng'ombe baada ya umri fulani no relationship kila mtu na njia yake
  4. KabangaSon

    Naomba ushauri jinsi ya kuacha kupiga puli,

    Labda ukatwe mikono [emoji113] [emoji12] [emoji12]
  5. KabangaSon

    Naomba ushauri jinsi ya kuacha kupiga puli,

    hiyo kuacha ni kwa neema tu hata ukioa bado si suruhu
  6. KabangaSon

    Yaliyojiri kupatwa kwa Mwezi Usiku wa leo July 27-28,2018

    Hapo walau umenielewesha mkuu kwa sababu swala la kitu ambacho upo ndani yake kizuie nuru ya kitu kingine tena ambacho hakina asili ya mwanga na bado kile kinachozuiwa kionekane kidogo ngumu kumeza
  7. KabangaSon

    Yaliyojiri kupatwa kwa Mwezi Usiku wa leo July 27-28,2018

    Nuru ya mwezi mkamilifu kuzuiwa na dunia maana yake nini?
  8. KabangaSon

    Msaada: Nimeulizwa swali na mke wangu nimeshindwa kulijibu

    Nyonya mpaka mzungu wa sala we nyonya tu
  9. KabangaSon

    Watumishi wa Serikali na siasa za mishahara

    Hujitambui wewe, kwanza hujiulize serikali ni nini na nini maana ya kutoa huduma kwa wananchi
  10. KabangaSon

    Nafikiria Kujenga Nyumba Yenye Sketch Hii, Naomba Ushauri Wako

    Hiyo ramani sio Sent using Jamii Forums mobile app
  11. KabangaSon

    Harmorapa apata shavu tena, awa balozi

    Maarufu afrika mashariki!!!!! Kaimba wimbo upi wa maana??? (Nimeuliza tu koz sijawahi sikia wimbo wowote kutoka kwake)
  12. KabangaSon

    Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

    Freedom of speech but not after speech
Back
Top Bottom