Habari! Nauliza tuu jamani je, inawezekana mwalimu akafanya kazi nyingine tofauti na ya ualim? Mfano utendaji wa kijiji, kata au hata ustawi wa jamii? Na vipi anaweza kuomba ajira kama hizo na akaajiriwa? BARUDIA TENA KUULIZA SI UJINGA, Anae elewa anijuze hili swala.
Kama kichwa kinavyo jieleza, naomba kujua bei ya mkaa kwa dar es salaam, kuna junia 40 zipo zipo tuu nahitaji kuzisafirisha kwenda Dar,, pia naomba kujuzwa bei ya mbao yenye urefu wa futi 10 aina ya mninga ,zipo mbao kama 45 zenye kiwango cha hali ya juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.