Habari! Nauliza tuu jamani je, inawezekana mwalimu akafanya kazi nyingine tofauti na ya ualim? Mfano utendaji wa kijiji, kata au hata ustawi wa jamii? Na vipi anaweza kuomba ajira kama hizo na akaajiriwa? BARUDIA TENA KUULIZA SI UJINGA, Anae elewa anijuze hili swala.