Mie naona kuwaandikisha wachangiaji alafu wengine wakakosa nafasi ya kuchangia inaweza saidia kuwa msingi wa kurekebisha kanuni ili kwa wakati mwingine wengi au wote waweze kuchangia.
Mie naunga mkono mtoa hoja kuwa Shibuda asifukuzwe ila apewe adhabu kulingana na taratibu ambazo cdm imejiwekea. Hiyo itakuwa fundisho kwake na wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.