CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Tafadhali nawaomba viongozi wa Chadema hekima ya hali ya juu itumike kulimaliza tatizo la Shibuda. Nawaomba msikurupuke. Najua alifanya makosa kwenda na msimamo wa chama, lakini kwa vile Chadema ni kioo cha jamii kwa sasa kisiasa, tafadhali mpe muda ajirekebishe. Ajue kuwa yupo mahali ambapo ni tofauti na CCM. Itawajengea heshima kubwa sana kuliko kumfukuza.
Mimi si mwnachama wa Chadema, lakini nina matumaini makubwa sana na Chadema kuhusu mustakabali wa taifa hili.
Mimi si mwnachama wa Chadema, lakini nina matumaini makubwa sana na Chadema kuhusu mustakabali wa taifa hili.