Viwanja vya ndege vya dar na zanzibar vitangara muda si mrefu

NDINDA

Platinum Member
Apr 4, 2011
10,296
46,886
Zanzibar International Airport T2|Underconstruction
znz-1.jpg

znz.gif


DAR ES SALAAM
HAPA ILIKUA KIPAWA ZAMANI,
dia.jpg

There were 3 designs for Terminal III and this one was chosen. The theme of the design comes from Tanzanite.
1-4.jpg

2-2.jpg

CHANZO http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1251709

PIA TEMBELEA LIBENEKE LA UTALII WETU HAPA http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=803392&page=16
 
Terminal III mchina kachomoa.jamaa anasaidia halafu watu wanataka kuvuta.hata kuwekeza ATCL huyo huyo mchina amegoma sababu watu wanaendekeza ulaji binfsi badala ya ulaji taifa.Zanzibar itakuwa safi na wataupita uwanja wa dar.NASIKIA WANADAI WAMEJIVUA MAGAMBA TUONE KAMA HIYO ATCL ITAFUFUKA
 
Terminal III mchina kachomoa.jamaa anasaidia halafu watu wanataka kuvuta.hata kuwekeza ATCL huyo huyo mchina amegoma sababu watu wanaendekeza ulaji binfsi badala ya ulaji taifa.Zanzibar itakuwa safi na wataupita uwanja wa dar.NASIKIA WANADAI WAMEJIVUA MAGAMBA TUONE KAMA HIYO ATCL ITAFUFUKA

Kama wachina wamechomoa ni bora hiyo design ipo kama warehouse bora warudi kwenye drawing table waje na design nzuri angalau ipendezeshe hako kajiji ketu. Ma-Architecture wote wameshindwa kuja na something attractive kuliko hii nayoiona hapa kwenye picha?
 
Terminal III mchina kachomoa.jamaa anasaidia halafu watu wanataka kuvuta.hata kuwekeza ATCL huyo huyo mchina amegoma sababu watu wanaendekeza ulaji binfsi badala ya ulaji taifa.Zanzibar itakuwa safi na wataupita uwanja wa dar.NASIKIA WANADAI WAMEJIVUA MAGAMBA TUONE KAMA HIYO ATCL ITAFUFUKA
Wamejivua kwenye chama, serikalini bado!
 
Terminal III mchina kachomoa.jamaa anasaidia halafu watu wanataka kuvuta.hata kuwekeza ATCL huyo huyo mchina amegoma sababu watu wanaendekeza ulaji binfsi badala ya ulaji taifa.Zanzibar itakuwa safi na wataupita uwanja wa dar.NASIKIA WANADAI WAMEJIVUA MAGAMBA TUONE KAMA HIYO ATCL ITAFUFUKA

kachomoa kufanya nini? kachomoa kujenga au kuwekeza ATCL?

kuna mdau kapita juzi hapo na ujenzi wa terminal 3 unaendelea
nimemkuta anaongelea issue hii maeneo flani
I totally agree with u. I was in Dar-es-Salaam last week flying back home to New York City and i saw construction going on for a brand new big Terminal (terminal 3) at JNIAirport. So even if Nairobi does complete its expansion and renovation, Dar will have a spanking new airport in a few years. Nairobi better wake up and smell the coffee!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom