Jamani naomba mwenye link ya gazeti hilo au aliye na kopi yake aibandike hapa.
Hii kauli aliitoa siku ile ya mapokezi ya Kafumu dar....Dah! jamaa hajajua athari ya maneno yake....net time atajifunza, ila kama aliweza kuikana ID yakeya JF, usishangaa akikana kuyasema hayo.