Recent content by k77

  1. k77

    Mnamwitaje huyu kwa kabila lenu

    Kiafuo - kichagga
  2. k77

    Nimetuma ujumbe wa kiamsha shari kimakosa kwa mama mkwe, sasa nimechanganyikiwa

    Usipanick! Mtumie mamamkwe SMS ya kumwomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwamba ulimkusudia mkeo kitu ambacho ni halali Sent using Jamii Forums mobile app
  3. k77

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Pole sana! Hawa viumbe ni dhaifu from origin of the biblia na kama wameshakutana sio rahisi kuachana isipokuwa wataendeleakubadilisha mbinu tu! Fanya hivi wakutanishe ndugu wa pande zote wawepo wamama na wabibi wamkanye halafu toa onyo LA mwisho pia endelea kuratibu simu zake itasaidia kupunguza...
  4. k77

    Msaada: Naibiwa mali yangu katika mazingira ya kutatanisha

    Yawezekana tatizo sio kufuli labda unachezewa mchezo mida ya kazi usimwamini kiumbe mwanadamu yeyote binafsi yalishawahi kunikuta mbinu iliyokuwa inatumika sikuamini ni story ndefu Fanya uchunguzi tu utabaini tatizo
  5. k77

    USHUHUDA: Nilinyang'anya binti aliezalishwa kwa mwanaume na sasa she is among the best students

    Kila taifa lina mila na desturi zake ambapo maadili kitu muhimu kufikia malengo ya MTU hasa kielimu rais ameeleweka vizuri sana! Hivyo acha kushabikia utandawazi na wanaharakati tutapotea kama taifa
  6. k77

    USHUHUDA: Nilinyang'anya binti aliezalishwa kwa mwanaume na sasa she is among the best students

    Rais kamaanisha mwanafunzi wa kike kupata mimba ni kosa lake kwani hajabakwa alihiari mwenyewe kwa tamaa zake na kama amelazimishwa basi sheria zipo wazi kwa mbakaji miaka 30 hivyo tuache kutetea ujinga kisa mwanamke
  7. k77

    Jamani mimi mapenzi tena basi!

    unajua tatizo letu wanaume wengi linapokuja suala la kuwa na mpenzi /mwanamke huwa tunakimbilia kuangalia sura au umbile zuri ili tuheshimike mtaani.kimantiki hawa viumbe wa aina hii ni wasumbufu sana wakiringia uzuri wao.issue sio uwezo au kumtimizia wahitaji yote.hawa binadamu ni wadhaifu...
  8. k77

    Wanaume waliosoma seminari

    Wana maadili ya dini(chrístianity) pía maadili ya jamii, wako committed kwenye kazi zao na wako serious kwenye mambo ya msingi,ni wepesi kutambua tabia ya mtu wamesomea psychology
  9. k77

    Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

    Wapare: ni wabinafsi sana,wanapendana na kusaidiana wao kwa wao ila ni wastaarabu na ucheshi kidogo
  10. k77

    Mke wangu akifika kileleni anazimia

    Kuna uwezekano tatízo lipo kwenye mfumo wa fahamu au mwenendo mzima wa mapigo ya moyo , pressure inakuwa juu wakati wa tendo kunakosababishwa na msisimko.embu muone daktari atakushauri zaidi
  11. k77

    Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

    Maisha ni hatua, hongera kwa hilo!
  12. k77

    Nataka kujua kuhusu watu kutafuta wenza mitandaoni

    Technologia lengo lake ni kumrahisishia binadamu utendaji wa mambo mbalimbali katika maisha yake, hivyo ni jambo la kawaida , mbona wahindi huchumbiana/kuoana kwa picha na ndoa zikadumu? Kikubwa tabia zilandane!
  13. k77

    Kuna aliyefanikiwa kupata mpenzi aliyetulia love connect?

    Utapata mkuu! Ila ukiwa uko serious wengine huchukulia kama utani na wengine hufanya kujaribu bila kuwa na nia baadae hupotea!
Back
Top Bottom