Kuna aliyefanikiwa kupata mpenzi aliyetulia love connect?

if not now

Senior Member
Mar 4, 2017
186
171
Habari za jioni wana MMU,
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria sana lakini bado sijalipatia jawabu ni kuhusu hili jukwaa la love connect. Kwa wale waliotafuta wenza huko naombeni kujua kama mmefanikiwa kuwapata maana natarajia kutafuta mwenza.. Hivyo basi wadau naombeni feedback kama unaweza ukapata mpenzi huko aliyetulia au nikazane na kitaa tu
 
Habari za jioni wana MMU,
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria sana lakini bado sijalipatia jawabu ni kuhusu hili jukwa la love connect. Kwa wale waliotafta wenza huko naombeni kujua kama mmefanikiwa kuwapata maana natarajia kutafta mwenza.. Hivyo basi wadau naombeni feed kama unaweza ukapata mpenzi huko aliyetulia au nikazane na kitaa tu
Utapata mkuu! Ila ukiwa uko serious wengine huchukulia kama utani na wengine hufanya kujaribu bila kuwa na nia baadae hupotea!
 
Habari za jioni wana MMU,
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria sana lakini bado sijalipatia jawabu ni kuhusu hili jukwa la love connect. Kwa wale waliotafta wenza huko naombeni kujua kama mmefanikiwa kuwapata maana natarajia kutafta mwenza.. Hivyo basi wadau naombeni feed kama unaweza ukapata mpenzi huko aliyetulia au nikazane na kitaa tu
miss natafuta veeeeep!!!!!!!
 
5122625124b02ba37bcad75ca8bcc81b.jpg
 
Habari za jioni wana MMU,
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria sana lakini bado sijalipatia jawabu ni kuhusu hili jukwa la love connect. Kwa wale waliotafta wenza huko naombeni kujua kama mmefanikiwa kuwapata maana natarajia kutafta mwenza.. Hivyo basi wadau naombeni feed kama unaweza ukapata mpenzi huko aliyetulia au nikazane na kitaa tu
Kwa haraka haraka nawakumbuka wadau wawili Jovitha na Msukuma msomi. Hawa walileta feedback kua wamepata watu wao humu baada ya kuweka tangazo.
 
Umu huwezi kumpata mke wa kuishi naye .
Labda kama wa kuishi naye humuhumu jf ila kwa nyumbani sidhani kama unaweza kumpata!!
Usimkatishe mwenzio tamaa kwani hao wanawake mnaowatongoza mitaani,makazini,nk.ndo hawahawa waliokua humu na wana mahitaji ya kuolewa vilevile.Wenza humu wanapatikana sana tu tena bila hata kuweka mabandiko nyota zenu zikiendana mnakutana pm mchezo umeisha
 
Natafuta friends with benefits. awe mwanamke mwenye pesa.....slide in ma PM if interested!
We unazo??
Habari za jioni wana MMU,
Kuna jambo nimekuwa nikilifikiria sana lakini bado sijalipatia jawabu ni kuhusu hili jukwa la love connect. Kwa wale waliotafta wenza huko naombeni kujua kama mmefanikiwa kuwapata maana natarajia kutafta mwenza.. Hivyo basi wadau naombeni feed kama unaweza ukapata mpenzi huko aliyetulia au nikazane na kitaa tu
 
unapata mkuu tena juzi kuna member mmoja kapata na kaleta mrejesho alivyokuwa mtu hatar kataja mpk jina

so unapata kuwa seriouse tuu kuna videmu kibao ila ukiona sms ya jina miss chaga ujue umasikini unakuita
hahaha mkuu mfuko lazma utoboke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom