Kweli. Kipindi kile mgomo wa walimu ulisababisha ila sio kwenye kusahihisha mitihani. Mgomo wa walimu nadhani ulianza kati ya 2009 na 2010(nipo tayari kwa marekebisho). Walimu walikuwa wanaenda kazini kama kawaida ila ilikuwa ni kutimiza ratiba tu. Darasani hakuna cha maana sana kilichokuwa...
Form four zote mbili za 2008 na 2012 zote zilikuwa chini ya Joyce Ndalichako kama katibu mkuu wa baraza la mitihani la Taifa(NECTA).
Hata hivyo, kila moja ina kumbukumbu yake.
Form four ya 2008 inakumbukwa kwa mitihani yake kuvuja hasa mtihani wa Basic Mathematics hadi kusababisha mtihani huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.