Recent content by k2206

  1. k2206

    Je, ni lazima Ukiipenda Yanga uichukie Simba?

    Umemjibu vyema. Mimi mwenyewe sijawahi kuona.😃😃
  2. k2206

    Viongozi na uongozi wa Simba kubalini tu kua Injinia Hersi kawazidi sana pakubwa kiakili na uwezo wa uongozi, na nyie mmekalia migogoro na uswahili

    Hakupaswa kuizungumzia simba tana in negative way. Yeye sio msemaji wa Simba S.C.
  3. k2206

    Haya ndio malipo ya kula wake za watu anayoyapitia huyu jamaa yangu

    Nyie mashababi endeleeni kuwagonga wake za watu tu kwa kisingizio cha kutongozwa. Yatakayowakuta mbeleni hakikisheni hamlaumu mtu.😄
  4. k2206

    UCHAMBUZI: Hesabu za Kura 32.7M na Dakika 540 Zinakwama Wapi Kimahesabu?

    Hii kukubali ni ngumu hasa kwa wale wapikaji. Kuna watu watashindwa mapema sana na hawataamini.
  5. k2206

    Nahitaji mtu aliepo Morogoro, Ifakara anipe ABC za mchele sasa hivi?

    Uzi mzuri kibiashara huu. Wenye taarifa za kina mawazo yenu ni muhimu sana hapa.
  6. k2206

    Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Hii hakutakiwa kusema. Wataitafuta na kuitoa.
  7. k2206

    Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Kweli. Kipindi kile mgomo wa walimu ulisababisha ila sio kwenye kusahihisha mitihani. Mgomo wa walimu nadhani ulianza kati ya 2009 na 2010(nipo tayari kwa marekebisho). Walimu walikuwa wanaenda kazini kama kawaida ila ilikuwa ni kutimiza ratiba tu. Darasani hakuna cha maana sana kilichokuwa...
  8. k2206

    Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

    Form four zote mbili za 2008 na 2012 zote zilikuwa chini ya Joyce Ndalichako kama katibu mkuu wa baraza la mitihani la Taifa(NECTA). Hata hivyo, kila moja ina kumbukumbu yake. Form four ya 2008 inakumbukwa kwa mitihani yake kuvuja hasa mtihani wa Basic Mathematics hadi kusababisha mtihani huo...
  9. k2206

    2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    African teams tumeumaliza mwendo.
Back
Top Bottom