Kama wanaweza waruhusu mfumo uwawezeshe wanachuo kuungia na kuangalia matokeo popote pale walipo isipokuwa kwa wakufunzi tu. Wakufunzi wasiweze kuingia isipokuwa wakiwa mazingira ya chuoni. Wakiumiza kichwa inwezekana kufanya kazi.
Mbona Israel mpango wao ni kuvamia maeneo ya nchi jirani ili kujitanua? Unadhani mpaka hapo Ataacha kuwa na maadui? Israel ndiye mwenye chokochoko miaka yote tangu wapewe hilo eneo na umoja wa mataifa. Tena Israel inapaswa kumshukuru sana Mungu kwa kuwa USA inawapa backup vinginevyo wangekuwa...
Ni kweli kabisa.
Kwa kuongezea, kwa wale ambao wanatumia mabati ya kawaida huo mtindo wakati wa mvua maji yote yanatiririka chini kwa haraka hivyo kupunguza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.