Recent content by k123gan

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Airtel Router ni mradi wa kuwaibia wananchi? Kifurushi cha 70k 'Unlimited' kinaisha siku 11, Booster ya 30k inafutwa kinyemela!

    Pole sana. Mbaya zaidi ukinunua huduma kuboreha imekuwa shida.
  2. K

    JamiiForums Tanzania KERO Airtel Router ni mradi wa kuwaibia wananchi? Kifurushi cha 70k 'Unlimited' kinaisha siku 11, Booster ya 30k inafutwa kinyemela!

    Uko mkoani? Mimi niko mkoani , milima na miti ila huwa navuta 13 -16 mbs kwa network ya 4g pekee. Jaribu kutumia simu yako kutest network najua kuna spot itakuwa vizuri.
  3. K

    JamiiForums Tanzania KERO Airtel Router ni mradi wa kuwaibia wananchi? Kifurushi cha 70k 'Unlimited' kinaisha siku 11, Booster ya 30k inafutwa kinyemela!

    Router za ndani zina changamoto hasa kama uko kwenye nyumba zenye paa refu. Mimi kabla sijamunua nilihakikisha napata ODU. Ila vifurushi vyake inaongezeka 30k kwenye bei za kawaida Unapata. - 30 gb , dakika 1000 na sms 10k kwa line kwanzia 2 za airtel (idadi inaongezeka kutokana na kifurushi...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Najitolea kuwa Mentor

    Natamani nibadili tabia yangu. Utaratibu ukoje?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hamjamuelewa yule mbunge kutoka Zanzibar. Sigrada Mligo ndio Yuda wala sio Dkt Nchimbi

    https://youtu.be/tOmNosvzItk?si=uh1qaZgLOIMSK17E Kiweka kumbukumbu sawa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Idu: ziara za Waziri Mwigulu Nchemba zinatafakarisha sana. Ni kama taifa halina waziri mkuu na limepotea.

    Sijamzidi CCM kwa ukali gentleman. Ukija tunamalizana kwa maneno. Sina bunduki, polisi na siteki wala sidhuru sina makali kama nyinyi gentleman.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Idu: ziara za Waziri Mwigulu Nchemba zinatafakarisha sana. Ni kama taifa halina waziri mkuu na limepotea.

    Ni bora kuliko kukosa skili kama gentleman.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kupitia LISSU tumegundua "Wahuni Ndani ya Jeshi la Polisi , wanapandishana Vyeo Kwa kazi zao za kiovu" na si kwa Mujibu wa PGO!

    Nadhani jamaa alikuwa anawadanganya hadi marafiki zake mtaani. Sasa leo watajua kwamba jamaa yao aliye kitengo kumbe ana elimu ya majokofu. Atapata tabu sana kujificha
  9. K

    JamiiForums Tanzania Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

    😂😂 sawa jasusi.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

    Shukrani T.O
  11. K

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli watu wameuchukia utawala wa rais Samia kiasi cha kuombea mapinduzi?

    Tatizo ni viongozi wanajosahau.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya Kwanza, usiku wa Jana, Watanzania wamezigomea Risasi baridi na Mabomu ya Machozi ,hawakukimbia Wala kutawanyika

    Na ULAZIMA wa kuandamana unaongezeka. Ari inaongezeka. Kilichotokea kitawapa watu ujasiri kwamba "inawezekana kuandamana". Ambacho ni kitu kizuri. Na kingine sio nchi nzima lazima iandamane lakini majiji na miji mikubwa kikinuka basi.
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    😂😂 brother hamko kimataifa msimu huu. Kwa hiyo ni waingereza tu.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    We now know who is calling the shots
  15. K

    JamiiForums Tanzania TTCL: Kufungiwa Huduma za Fiber ni bure, wanaodaiwa kuchukua rushwa hatua zitachukuliwa

    Walitakiwa kiwa wamefika majumbani kitambo sana. Wamelala sana.
Back
Top Bottom