Uko mkoani?
Mimi niko mkoani , milima na miti ila huwa navuta 13 -16 mbs kwa network ya 4g pekee.
Jaribu kutumia simu yako kutest network najua kuna spot itakuwa vizuri.
Router za ndani zina changamoto hasa kama uko kwenye nyumba zenye paa refu. Mimi kabla sijamunua nilihakikisha napata ODU.
Ila vifurushi vyake inaongezeka 30k kwenye bei za kawaida Unapata.
- 30 gb , dakika 1000 na sms 10k kwa line kwanzia 2 za airtel (idadi inaongezeka kutokana na kifurushi...
Nadhani jamaa alikuwa anawadanganya hadi marafiki zake mtaani. Sasa leo watajua kwamba jamaa yao aliye kitengo kumbe ana elimu ya majokofu.
Atapata tabu sana kujificha
Na ULAZIMA wa kuandamana unaongezeka. Ari inaongezeka.
Kilichotokea kitawapa watu ujasiri kwamba "inawezekana kuandamana".
Ambacho ni kitu kizuri.
Na kingine sio nchi nzima lazima iandamane lakini majiji na miji mikubwa kikinuka basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.