Mama alizingua kwa kauli yake hata mimi ningekuwa Ruto ninge mind.
Yaani unamsogezea mtu chakula, anaanza kuuliza kwanini mmepika bila yeye kuwepo (tena kwa ukali).
My take: Ruto alikuwa anamzawadia mama ajisafishe na 29 badala yake ika back fire.
Baada ya hotuba ile ya Ruto mama alitakiwa...
Italeta matabaka mwisho wa siku chama kitavunjika.
Najua mtahubiri demokrasia.
Je, mama mwenye shughuli ya kuchoma mihogo naye akiwania nafasi mtamkataa? Mtaanza kutengana kisa vipato. Wanyonge wataona mnawaonea mwsho wa siku hamna chama.
My point is shughuli za kiuchumi ni nyingi sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.