Recent content by k123gan

  1. K

    JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha uhesabuji wa kura kutokana na vurugu

    2030 itakuwa zaidi. Maana badala ya kuboresha anazidi boronga.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Akina Mwalimu walikuwepo kaka. Je waligombea wengine ?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Nyingine ni Damu ya Yesu.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Sasa anakuaje mtakatifu? Na kivipi Mwanadamu anakua mtakatifu?

    Mtakatufu alivuta fegi pale alipokuwa na stress 😀
  5. K

    JamiiForums Tanzania Update kesi ya Lisu Naona Leo wamefungua box la Pandora la tarehe Ile mbaya kuliko zote tangu tupate uhuru Bora tufanye maridhiano

    Fellow dev. Pandora box ni nahau ya kiingeraza imekuwepo kabla hata simu hazijagundulika.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Tuwaze kwa pamoja zaidi

    Mjukuu wako akivunja tv utamchinja?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Utachoka zaidi ukigundua jamaa lina degree ya sheria.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tuwaze kwa pamoja zaidi

    Kuandamana ni haki yetu ila kuua ni jukumu lenu CCM. Kama kijitabu chenu kinavosema.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Tuwaze kwa pamoja zaidi

    Endelea kuicheka Chadema na Simba huko 2040 kitukuu chsko kiuliwe kwenye maandamano
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Mama alizingua kwa kauli yake hata mimi ningekuwa Ruto ninge mind. Yaani unamsogezea mtu chakula, anaanza kuuliza kwanini mmepika bila yeye kuwepo (tena kwa ukali). My take: Ruto alikuwa anamzawadia mama ajisafishe na 29 badala yake ika back fire. Baada ya hotuba ile ya Ruto mama alitakiwa...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ili kupunguza machawa kwenye vyama vya siasa na kupata viongozi WAZALENDO liwepo sharti Kila kiongozi wa chama awe shughuli ya kiuchumi kupata kipato

    Italeta matabaka mwisho wa siku chama kitavunjika. Najua mtahubiri demokrasia. Je, mama mwenye shughuli ya kuchoma mihogo naye akiwania nafasi mtamkataa? Mtaanza kutengana kisa vipato. Wanyonge wataona mnawaonea mwsho wa siku hamna chama. My point is shughuli za kiuchumi ni nyingi sana na...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ili kupunguza machawa kwenye vyama vya siasa na kupata viongozi WAZALENDO liwepo sharti Kila kiongozi wa chama awe shughuli ya kiuchumi kupata kipato

    Kitu ambacho hakiwezekani. Kumbuka kiongozi ni zao la mwanachama wa kawaida. Je, wanachama wote wawe hivo? Au afungue biashara ndiyo agombee?
Back
Top Bottom