Recent content by k123gan

  1. K

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mastermind wa mauaji kapigwa pin kuingia Ulaya

    Jiongeze tu si unaona siku hizi anatuma vibaraka kwenye mikutano ya kimataifa.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    Nilikosea. Kuna kuteleza. Ila kuwa na lugha ya kiungwana mzee.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Hivi huyo Shekhe Mwaipopo ambaye kakiri mbele ya waziri ouvu wake kisa uzalendo, hastahili kuchukuliwa hatua?

    Usihangaike kaka hii ni kuzima ishu ya Nchimbi. Na hatusahau
  4. K

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    Samahani bwana nilichaganya mafaili.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    Dudu baya alikuwepo yeye ndiyo alisimama nyuma ya Katambi. Picha ziko mtandaoni. Ambao hawakuhudhuria ni wa3 tu. Niffer na magay wawili ndiyo watu pekee waliokaidi.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Saed Kubenea ni afisa wa Tiss? Habari zake huwa ni kweli 100% zaidi ya Britannica

    Ukotaka kuwa mwadishi mbobevu lazima uwekeze kwenye sources za habari.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri - 2, Septemba 2026

    Mwamba hana filter, amenyooka. Sasa hapo its too late for Mbowe hata akija watajua ujumbe ulimlenga.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo mwanasheria anayetegemewa na Serikali?

    Naomba Nieleweshe tafadhali.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo mwanasheria anayetegemewa na Serikali?

    Kaajiriwa na nano na Analipwa na nani ?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Kwani shitaka ni mkutano au uhaini? Kipi kinatakiwa kuthibitishwa ili kumtia hatiani? Naomba darasa kama hutojali.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Ameisaidia serikali kwa lipi? Kuwakandamiza zaidi? Kumbuka wako mahakamani na sio serikalini, hivo ni vitu viwili tofauti.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Sijasifia kaka. Ila ni moja ya hulka ya vijana wa Tanga kulelewa. Mikoa ya pwani utakutana na mtu kukesha kwenye kahawa au bila shughuli na usishangae kuona wana maisha mazuri.(nadhani utakuwa umeshihudia) Nadhani ni utofauti wa tamaduni.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Ni kweli anaweza kuwa na msimamo. Nimemaanisha kiburi cha kukataa fedha nyepesi. Kama ilivo Mwakinyo naye ni wa Tanga. Ni manispaa yenye watu waliochangamka kifedha kwahiyo ni rahisi wao kuishi bila dhiki ndogo ndogo. Kule dili za pesa nje nje na hakuna ushindani wa mastaa kama DSM au Dom...
Back
Top Bottom