Nadhani jamaa alikuwa anawadanganya hadi marafiki zake mtaani. Sasa leo watajua kwamba jamaa yao aliye kitengo kumbe ana elimu ya majokofu.
Atapata tabu sana kujificha
Na ULAZIMA wa kuandamana unaongezeka. Ari inaongezeka.
Kilichotokea kitawapa watu ujasiri kwamba "inawezekana kuandamana".
Ambacho ni kitu kizuri.
Na kingine sio nchi nzima lazima iandamane lakini majiji na miji mikubwa kikinuka basi.
Kumjibu huyu kijana unapaswa usiwe na makandokando ndani na nje ya hicho chama chao.
Ndiyo maana hata vimbelembele akina Bashite,Chalamila n.k wamekauka kama hawamsikii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.