Recent content by k123gan

  1. K

    Kupitia LISSU tumegundua "Wahuni Ndani ya Jeshi la Polisi , wanapandishana Vyeo Kwa kazi zao za kiovu" na si kwa Mujibu wa PGO!

    Nadhani jamaa alikuwa anawadanganya hadi marafiki zake mtaani. Sasa leo watajua kwamba jamaa yao aliye kitengo kumbe ana elimu ya majokofu. Atapata tabu sana kujificha
  2. K

    Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

    😂😂 sawa jasusi.
  3. K

    Kwa mara ya Kwanza, usiku wa Jana, Watanzania wamezigomea Risasi baridi na Mabomu ya Machozi ,hawakukimbia Wala kutawanyika

    Na ULAZIMA wa kuandamana unaongezeka. Ari inaongezeka. Kilichotokea kitawapa watu ujasiri kwamba "inawezekana kuandamana". Ambacho ni kitu kizuri. Na kingine sio nchi nzima lazima iandamane lakini majiji na miji mikubwa kikinuka basi.
  4. K

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    😂😂 brother hamko kimataifa msimu huu. Kwa hiyo ni waingereza tu.
  5. K

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    We now know who is calling the shots
  6. K

    TTCL: Kufungiwa Huduma za Fiber ni bure, wanaodaiwa kuchukua rushwa hatua zitachukuliwa

    Walitakiwa kiwa wamefika majumbani kitambo sana. Wamelala sana.
  7. K

    Jipatie Unlimited bando kutoka Vodacom, kuanzia elfu 70,000/= tu.

    Nadhani ndiyo product inashika, kasi bei zitashuka. All in all ni bora kulipa hiyo security deposit kuliko uambiwe ughalamikie router nzima.
  8. K

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    Huko mbali. Hii ni mara ya pili mlinzi wa mama kuanguka.
  9. K

    Wasira: Achana na Polepole, usijepata kiharusi bure!

    Kumjibu huyu kijana unapaswa usiwe na makandokando ndani na nje ya hicho chama chao. Ndiyo maana hata vimbelembele akina Bashite,Chalamila n.k wamekauka kama hawamsikii.
  10. K

    Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA fuatilia Kampeni za CCM

    Fresh tu kama sio leo basi kesho. Uzuri tunazaa na kufariki.
  11. K

    Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA fuatilia Kampeni za CCM

    Kwani chadema imeanza leo?
Back
Top Bottom