Recent content by k.p

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ma Brother wa 35+ ni kosa gani ulilifanya kwenye maisha yako, ambalo hutamani wengine walirudie?

    Nimemvumillia mwanamke asie zaa kwa miaka mingi mpaka sasa nina 45yrs, kumbe ilitakiwa niongeze mke wa pili maana kucha yule ilikuwa sio kosa lake.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Huyu ni mke wa mtu na yuko tayari kuniuzia.

    Nipe namba yake mm ntampa hio 50
  3. K

    JamiiForums Tanzania Muda wa Kustaafu kwa watumishi wa Umma upitiwe Upya

    Uwe miaka 65 badala ya kupungua
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Za ndaaaaani, Simba walitafuta namna ya kumhonga Diara na kublock ndege yake , wakachemka

    Mkiwa na imani kama hii makundi hamtoboi. Nimekaa pale.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kuhuzuria hio conference ni gharama sana fikiria registration peke yake ni doller 1000 watakao weza kwenda kila lakheri.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Huyo ndo mtoto ulie zaa na merry?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Saa sita hii.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Noma sana.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

    Brother hii shule ni Usagara sec umeelezea vizuri sana hii shule ndo niliosoma mimi, Sitaki kuamini jamaa alipita kwenye ile fensi ya upande wa hostel speed kiasi hicho hahahahhaha. Uzuri wa ile shule kama umefuata shule utafaulu ila kama ukizingua imekula kwako, maana hakuna anae kufuatilia ni...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

    Brother ningependa kujua kuhusu ile kazi ya Dr K.J alivyofariki ile kampuni iliendelea kupiga kazi au ilikufa?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    We Fala tu hujawahi kushikwa kinyeo au kupandwa kichwani na wanawake, na ndo mnaambukizana huu upumbavu mifumo jike nyie. Ila sisi kunyanyaswa ni haki yao. Wewe ndo mkeo au mtu wako anaongea na X wake mbele yako ungechukua hatua gani ambayo ungezuia mihemuko.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale Nauza simu mpya Samsung galaxy A04s

    Njoo nikupe laki mbili kama uko teyari njoo PM
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Hamna ya kiswahili tuelewane?
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

    Achana nae yeye aliojaribu hata kutunga iko wapi?, mbona watanzania tunakatishana tamaa hivi!!!!!?
Back
Top Bottom