Recent content by K.A.L.

  1. K

    Rais Magufuli afanya mabadiliko madogo katika baraza la Mawaziri, pia ateua Balozi na Makatibu wakuu

    utateua sana na hutaona tija yao hadi utakapowaachia uhuru wa kuamua.
  2. K

    Chadema yapewa gari na yazidi kujipanua hadi nje ya Tanzania

    Usiponde,hata kama la kuebea ulichosema poa tu ,our aim is M4C itakapofanikiwa even u will benefit on it.TUMEONEWA VYA KUTOSHA,TUMENYANYASWA VYA KUTOSHA SASA TUNATAKA MAPINDUZI/MABADILIKO.
  3. K

    Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

    Hii hoja mngeacha kwa kuwa pesa ya Mbowe ni ya HALALI,mtoa hoja aseme wtoto wa wakubwa zake na wliowahi kuwa wanasoma wapi kama siyo kule ambako nauli tu ya kufika huko ndo mh.MBOWE anamlipia mwanae na si mmoja wanasomesha.
  4. K

    Mambo makubwa waliofanya wabunge wa CHADEMA majimboni kwao

    Hoja yenyewe inatukana then what do u expect,get changed cause now is compulsory,or wait 4 situation 2 change u.
  5. K

    Mambo makubwa waliofanya wabunge wa CHADEMA majimboni kwao

    NN Huyo Anna hajui matatizo yalokuwepo kabla Mdee hajashika hatamu,pia hajui namna mbunge anavotatua kero za wananchi na wala hajui jinsi gani ni vigumu kufanya kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia CDM wkt kilichoko madarakani ni............mpe mbunge wetu ushirikiano ACHA...
  6. K

    Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

    Umejuaje ni mkereketwa wa CHADEMA?au siasa za kistaarabu ni kujilimbizia mali na kuwaacha wananchi wakifa njaa? Sijaona zaidi ya CHADEMA hata km kingekuwa na mbunge mmoja,watch u r talk 2015 is arround the corner.
  7. K

    Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

    Kumbe unajua dhahiri kwamba CCM wameboronga,sasa unataka waboronge mpaka lini?na ni kigezo gani umetumia kuwapima CHADEMA kuwa wataboronga wkt hujawapa dola?
  8. K

    Dr. Slaa: Mfuko wa cement utakuwa Tshs 5,000.. Ni KWELI 100%

    kwa chama makini kama CHADEMA kila kitu kinawezekana.
Back
Top Bottom