Usiponde,hata kama la kuebea ulichosema poa tu ,our aim is M4C itakapofanikiwa even u will benefit on it.TUMEONEWA VYA KUTOSHA,TUMENYANYASWA VYA KUTOSHA SASA TUNATAKA MAPINDUZI/MABADILIKO.
Hii hoja mngeacha kwa kuwa pesa ya Mbowe ni ya HALALI,mtoa hoja aseme wtoto wa wakubwa zake na wliowahi kuwa wanasoma wapi kama siyo kule ambako nauli tu ya kufika huko ndo mh.MBOWE anamlipia mwanae na si mmoja wanasomesha.
NN
Huyo Anna hajui matatizo yalokuwepo kabla Mdee hajashika hatamu,pia hajui namna mbunge anavotatua kero za wananchi na wala hajui jinsi gani ni vigumu kufanya kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo kupitia CDM wkt kilichoko madarakani ni............mpe mbunge wetu ushirikiano ACHA...
Umejuaje ni mkereketwa wa CHADEMA?au siasa za kistaarabu ni kujilimbizia mali na kuwaacha wananchi wakifa njaa?
Sijaona zaidi ya CHADEMA hata km kingekuwa na mbunge mmoja,watch u r talk 2015 is arround the corner.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.