Hakuna anayeshauri wamiliki wa daladala wajiunge waunde Kampuni iombe kazi ya mwendokasi. Iangize basi maalum zinazoendana na njia na vituo vya mwendokasi.
Mwendokasi ya bongo haijawahi kulipa na haitalipa kamwe. Ndio maana kila anayetaka kuwekeza anatanguliza capacity charge ili kodi yako ndio imlipe faida. Tulijua machungu ya capacity charge ya Richmond kwa Bunge la Standard and Speed, sasa kwa Bunge hili la Chawa sijui kama tutakuja kujua...
some years back tulikuwa tunalalamika Kenya ina vitanda vingi kuliko TZ ndio maana watalii wanaishia Kenya na kupita tu TZ. Leo tunaongeza vitanda mnalalamika. Yaani huamini TAWIRI inayofanya utafiti wa wanyama ila unakomalia variable yako moja ambayo haijawa tested?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.