Huwezi linganisha forex na betting mchezo wa bahati na sibu, FOREX ni biashara ambayo inahtaj umakini, muda, focus malengo, kuzuia tamaa na kutambua unachokifnya hapo ndipo utakapo gundua FOREX ni nzuri na nibiashara ambayo ukiifnya kama biashara utafanikiwa saana, najua sisi wabongo tunapenda...