Recent content by Juwaine

  1. Juwaine

    Are spies made or born?

    Learn from this guy point of view
  2. Juwaine

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    I believe Joel Campbell was outstanding today. I always told you he had top top individual quality, you don't listen very well.
  3. Juwaine

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Unaushaidibwa unachosema au mbwembwe
  4. Juwaine

    CHADEMA watua ICJ, kupeleka mashitaka ya uchaguzi Mkuu

    Chadema asilia!!? Katiba ya chama ibara ya kwanza inasemaje!?
  5. Juwaine

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Wameshamfikisha mahakamani na kawajambisha haswa kitakachofata ni calendar kesi kuhailishwa hakuna jipya hapo na dogo endelea hivyo hivyo
  6. Juwaine

    Taarifa kutoka JWTZ kuhusu Jenerali Davis Mwamunyange

    Tupo kibao sitomfahamu hii ni kubwa acha kabisa ila akili za kuambiwa changanya na zako
  7. Juwaine

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Akitaka kuiona physical napatika posta mtaa wa zanaki ni gari yangu au aje nhc house level 11 atanipata karibuni kuna mmoja kachemka na 20millns
  8. Juwaine

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Range Rover v8 p38 field, petrol engine, full-time four wheel, traction control, rangi dhahabu, automatic, ni ya mwaka 2005 bei 25 million anaetaka anitafute whatsup 0786870532
  9. Juwaine

    Kuwa na mwanaume wa aina hii kwenye mahusiano ni raha sana

    Kazi ya mwanaume ni kumfurahisha mkewe hasa katika vitu vidogo vidogo lakini vikubwa lakini hivyo havina mantiki vyenye mantiki hakuna asiye vijua
  10. Juwaine

    Kuwa na mwanaume wa aina hii kwenye mahusiano ni raha sana

    Wapo wanaume wa hivyo lakini sio kwa mantiki ya mwandishi kwamba hez everything sasa kama ni hivyo means anatakiwa kua dr akuzalishe pia anyonyeshe wanao pia yani kila mtu ana nafasi yake kwa wakati wake lakini uwiano kati ya hizo pande mbili ndio unao make sense hasa kwa watu wenye nia ya...
  11. Juwaine

    Kuwa na mwanaume wa aina hii kwenye mahusiano ni raha sana

    Kujua zaidi kwa mwanaume si kwa mantiki ya mtoa uzi sabu iko wazi na haipingiki kwamba kila binadamu anacho cha kujifunza toka kwa mwengine haijalishi ni kitoga kiasi gani lakini sio mmoja awe mbu mwingine awe damu nah huo ni upuuzi
  12. Juwaine

    Kuwa na mwanaume wa aina hii kwenye mahusiano ni raha sana

    Mapenzi yanatakiwa yawe na uwiano ili kila mmoja apate cha kujifu za toka kwa mwenzake lakini sio mmoja ni google mwingine ni online frick
  13. Juwaine

    Yaliyojiri kutoka uwanja wa Mpilipili: Mkutano wa Dr. Magufuli jimbo la Lindi - Oktoba 12, 2015

    Ivi hesi inakuaje katika mikono salama wakati si mali ya wananchi lwa takribani miaka saba 😂😂😂😂
  14. Juwaine

    JWTZ lina kitega uchumi gani kwa manufaa ya nchi?

    Jkt ni kitengo kidogo cha jwtz kilicho wekwa kwa ajili ya kufanya shughuli za jeshi za kimaendeleo mafano kilimo, shule, ujenzi so yote ni sehemu ya jesh sabu ata mwamunyange ni mkuu wa majeshi yote so njoo na nyingine tukuweke sawa
  15. Juwaine

    Hii ndio Dawa ya tatizo la Umeme nchini ila kuna watu hawataki kusikia kabisa hii

    Hii nchi imejaa usanii sanii mwingi sana kama u auzoefu na ofisi za serikali utanielewa vizuri yani watu wameshindwa kufanya kazi za kuleta maendeleo instead imebaki kupiga dili ndani ya ofisi hizo wakitumia ofisi za serikali kama fixed asset ili kufanikisha malengo yao ya kupata pesa za kununua...
Back
Top Bottom