Vurugu kubwa kati ya machinga na mgambo wa jiji wakiongonzwa na jeshi la polisi amepora Mali na kuchoma vibanda vyao vurugu zimeanza saa mbili asbh na shughuli zote zimesimama mjini kati. Zimeanzia sehemu moja mashuhuri za machinga Makoroboi na kuenea maeneo mbalimbali ya lumbumba market...
Hata bwana mmoja anaitwa Focus mpiga disco bukoba mjini alihaidiwa tshs 100ml na Asumpta ktk jimbo la Nkenge 2010 akajitoa kwa na kuandikiwa cheque feki alipokuta hamna kitu alikimbia mwezi mzima kwa aibu kubwa. Na bado yupo bukoba anapiga muziki kwenye arusi migombani. Angekuwa mh km wenje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.