Nusura nijiunge CCM

Nusura nijiunge CCM

Njoo kwa watetezi wa wanyonge.CHADEMA daima.

chadema kama mnachukua wanachama wa matukio hamtafika mbali leo fulani kasema hivi mimi najiunga na chama chake kesho akisema vile narudi nilipotoka kazi kweli kweli
 
Ccm ni taasisi pendwa hapa nchini. Kilichotoka kinywani mwa naibu waziri hakirudi tena

Inapendwa na vilaza kama nyinyi ns siyo wananchi wazalendo wa taifa hili,ccm haina uzalendo hata kidogo,uzalendo wao ni mtumboni mwao,ndiyo maana hawaachi kuifisadi nchi hii maana wanapenda sana kujilimbikizia mali na utajiri huku sisi wananchi tukiteseka kwa umaskini!
 
Hujanielewa.Soma tena Mkuu

Ndo tatizo letu,mistari 3 tu ya mwanzo mbona unaeleweka unachotaka kusema.....nakumbuka kuna siku kicheere aliweka utani wake hapa wa kujiunga CCM alishambuliwa kweli.....nafikiri vitabu kama Kusadikika havikueleweka vyema au havikusomwa kabisa O'level.
 
Masele alikuwa anajinasua kwenye kashifa ya wizi wa 200 bln za iptl na tsnesco. Hakuna jipya majizi tu ccm
 
Siamini kwamba hukuwahi kusikia kauli za wanaccm hapo nyuma.
Nashangaa kuona mtu kama wewe bado ulikuwa na fikra za kujiunga na ccm tena wiki hii!!

Petro amejenga hoja yake kifalsafa, msome tena utamwelewa. Kwa ufupi ni kuwa anawashangaa CCM na mikwara mbuzi yao, hoja wanayo ambayo ingeweza kuwajenga kisiasa lkn ujasiri wao ni ZERO!
 
Ningejiunga na ccm siku ile JK alisema ana orodha ya wauza sembe nikadhani atauchukulia hatua.
 
Petro amejenga hoja yake kifalsafa, msome tena utamwelewa. Kwa ufupi ni kuwa anawashangaa CCM na mikwara mbuzi yao, hoja wanayo ambayo ingeweza kuwajenga kisiasa lkn ujasiri wao ni ZERO!

uko sawa gt
 
Petro amejenga hoja yake kifalsafa, msome tena utamwelewa. Kwa ufupi ni kuwa anawashangaa CCM na mikwara mbuzi yao, hoja wanayo ambayo ingeweza kuwajenga kisiasa lkn ujasiri wao ni ZERO!

Huu sio muda wa falsafa ndugu!Mtu kachemka anatafuta pa kutokea
 
Nusura uwe INTARAHAMWE Buku 7 kutumikishwa mitandaoni kama MSALANI

Mkuu usidhani kila anayepinga ulaghai wa CHADEMA kwa herufi kubwa ni mtumwa. Wengine hatujafungwa mawazo na wanasiasa, kama ninyi mnavyofanyiwa na Mzee Slaa.
 
Leo Kuna Mkutano Hapa Iringa Mjini Mwembetogwa Atakuwepo Mchumi Dalaja La Kwanza Bila Kusahau Na Lile Liskafu Lale La Uzalendo Na Baadhi Ya Mawazili Mkutano Umetaganzwa Siku Tatu. Sasa Ole Wenu Msifike. Teh Teh Teh Teh Daa Kuwa Mwana CCM Kazi Kweli Akili Zako Uwe Umeziweka Uvunguni Mwa Kitanda
 
Mkuu usidhani kila anayepinga ulaghai wa CHADEMA kwa herufi kubwa ni mtumwa. Wengine hatujafungwa mawazo na wanasiasa, kama ninyi mnavyofanyiwa na Mzee Slaa.

utamuongopea nani wewe ? Hivi kuna mtu anaweza kutetea ccm bila msukumo wa nyuma ya pazia ? Thubutu !
 
Akajiunge na wamwagia watu tindikali? Walisha watu sumu?

Ni kweli,CDM ni wauaji wakubwa.Walimuua Mwangosi,wakamteka Ulimbboka na Kibanda kisha wakawang'oa meno na kucha bila ganzi,hawakuishia hapo bali wamemuua na Dr Mvungi ili tu serikali 2 zipite
 
Mkuu usidhani kila anayepinga ulaghai wa CHADEMA kwa herufi kubwa ni mtumwa. Wengine hatujafungwa mawazo na wanasiasa, kama ninyi mnavyofanyiwa na Mzee Slaa.

Hata watoto wa chekechea wanafahamu kuwa wewe ni msukule wa mafisadi,unashinda jf kutetea wezi na wauaji bila hata soni.Ni aibu kubwa kuzaliwa taifa moja na kenge kama nyie!
 
Back
Top Bottom