Mkuu nilishawahi fanya kazi kwenye kampuni moja hivi ya kusambaza vyombo,yaani nilifanya kazi mwezi mzima nakuja kuambia kwenye akaunti yangu nina 2300,mbona niliondoka na vyombo vyenyewe
Tatizo la usafiri bado ni changamoto mno hapa kwetu na ndio maana unakuta magari mengi ya abiria huwa yanajaza kupitiliza,kuna wakati nilisikia kua magari ya kubeba abiria yanatakiwa yawe level sit hii iliishia wapi kwa????
Just ask your heart,kwani maamuzi uyafanyayo hutoka moyoni mwako.
[emoji736]NAJIBU SWALI LAKO ma EX huwa hawaachani labda muwe mmegombana tena kutishiana vifo lakini bila hivyo miaka 800 hamuwezi achana
Mi siwezi,kuna kipindi nilisafiri kikazi kwenda zambia sasa kuna jamaa alileta demu wake kwenye chumba tunacholala,jamaa tulimwachia chumba sisi tukala sebleni basi yale mambo yalivyoanza hata usingizi sikupata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.