commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Akisha jiuzuru what next?Wew
Wewe ndio una matatizo ya akili,kujiuzulu sio kwamba yeye alitakiwa akahesabu abiria,kujiuzulu ni kuwajibika kwa uzembe uliofanywa na waliochini ya uongozi wako. Siamini kama haya maneno aliyatoa waziri..hata kama hajasoma hata modole moja ya uongozi. Hivi viongozi kuweka watu ndani siku hizi ndio jambo la kujivunia!.Hii awamu ni ya kishetani.