Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Muingereza kabla hata hajatupa Uhuru alitutungia sheria ya makosa ya adhabu(penal code) ambayo baadae ikaja weka vipengere vya makosa ya uchochezi na udhalilishaji.
Tulipopata tu uhuru,tukatungiwa sheria ya usalama wa taifa iliyoweka mipaka ya taarifa ipi ni ya umma na ipi ni ya siri?
Tukaja tukatungiwa sheria ya magazeti ambayo ikawa inayafungia magazeti ambayo hayajawapendezesha wakubwa.
Baadae tukatunga sheria nyingine ambayo ikawapa nguvu mamlaka kuvifungia vyombo vya habari vya kielektroniki.
Baadae tukatunga sheria ya kuzuia kutoa takwimu ambazo hazijathibitishwa na serikali
Baadae tukatungiwa sheria inayoweka utaratibu wa kupata taarifa.
Baadae tukatungiwa sheria inayompa mkuu wa mkoa ama wilaya kukufukuza kwenye eneo lake.
Sasa tunasheria inayotukataza kuchambua takwimu Rasmi za serikali kwa lengo la kuonesha kuwa hazipo sawa.
Sasa tunasheria inayokataza kufanya utafiti bila ruhusa ya serikali.
Haya mambo hayaaaaaaa.
Tulipopata tu uhuru,tukatungiwa sheria ya usalama wa taifa iliyoweka mipaka ya taarifa ipi ni ya umma na ipi ni ya siri?
Tukaja tukatungiwa sheria ya magazeti ambayo ikawa inayafungia magazeti ambayo hayajawapendezesha wakubwa.
Baadae tukatunga sheria nyingine ambayo ikawapa nguvu mamlaka kuvifungia vyombo vya habari vya kielektroniki.
Baadae tukatunga sheria ya kuzuia kutoa takwimu ambazo hazijathibitishwa na serikali
Baadae tukatungiwa sheria inayoweka utaratibu wa kupata taarifa.
Baadae tukatungiwa sheria inayompa mkuu wa mkoa ama wilaya kukufukuza kwenye eneo lake.
Sasa tunasheria inayotukataza kuchambua takwimu Rasmi za serikali kwa lengo la kuonesha kuwa hazipo sawa.
Sasa tunasheria inayokataza kufanya utafiti bila ruhusa ya serikali.
Haya mambo hayaaaaaaa.