Recent content by Justinejm

  1. Justinejm

    Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

    Hata mm nimekutana na hali hii, na wachawi wanaelewa sana jambo hilo, wakiona kuwa umefanya sex na mtu ambae kiroho yuko hovyohovyo wanajua kuwa umejikaanga mwenyewe kwani hapo wanakuwa na uwezo wa kupitisha roho zao za mabalaa kupitia hizo bond ulizoweka!
  2. Justinejm

    Masanja Mkandamizaji achukua fomu ya kugombea Ubunge Ludewa

    Naona sasa mason wameamua kuweka mizaha yao wazi tz, zamani mizaha ilikuwa inafanywa na wale mason wa kisomi tu, wanaojiita maprofesa lakini eti wanashindwa hata kusoma mikataba ya kimataifa kati yetu na wawekezaji na kuuza nchi kwa bei ya kutupa, sasa mzaha huo wanataka kuuonyesha laivu, kuwa...
  3. Justinejm

    Bunge la 11: NDIYO za wabunge wa CCM kupitisha Miswada kuisha!

    Walisema viti maalum wanatangazwa leo, ngoja tuone,
  4. Justinejm

    Nini hatima ya Zanzibar?

    Kete yetu ya dhahabu wana mabadiliko wote ni Maalim Seifu kwa sasa, yeye ndie akomalie urais wa Zanzibar mpaka apewe haki yake na baadae ataitisha kura ya maoni juu ya muungano ili kuleta serikali tatu, hapo ndio utakuwa mwisho wa ccm huku bara pia,
  5. Justinejm

    Lowassa: Awamu ya pili inakuja

    You are a genious mkuu, sasa ubayaubaya tu, hatuwezi kufurahia na watu wanaofurahia ushindi na familia zao sasa hivi , we jiulize , nchi yote imenywea kwa hofu na kukata tamaa, hakuna anaefurahi pamoja nao ila familia zao tu, huo ni ushindi wa kifamilia tu, lakini ingekuwa ni peoples basi mitaa...
  6. Justinejm

    Lowassa: Awamu ya pili inakuja

    Subiri itakuja kuwa jumatatu, ma*t**k wewe, unaefikiria kwa kutumia hayo,
  7. Justinejm

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Huyu ni mpuuzi na uzi wake, anatuletea mawazo yao finyu ya lumumba anadhani na upande huu tunawaza kama wao! Huku nguvu ipo kwa wananchi ,haijalishi wewe upo wapi, ulikuwa wapi ama unajuana na nani! Kila sekunde tunasema peoples power halafu anatokea bwe*ge anaandiku upumba*mfu kama huyu na nyie...
  8. Justinejm

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Lofa na mpu* mba*mfu mkubwa wewe!
  9. Justinejm

    Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

    Ningetegemea watanzania tuwe na akili zenye maarifa nyakati hizi, hawa watu hatuwajui vema itupasavyo na ndio maana wanatulaghai tena na tena kwa siasa zao za uongo . Lakini nyakati na matukio yanayotupa nafasi kuwafahamu vizuri bado tunajifanya vipofu tusioelewa! Sasa ndio muda pekee wa kujua...
  10. Justinejm

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    Kweli mafisiem ni laana kwa taifa!
  11. Justinejm

    Yanayojiri Uzinduzi wa ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo. Serikali ya Oman, China & TZ wapo

    Tumia akili yako vizuri, ww unaona nyerere alikuwa ana harufu ya wizi na ufisadi hadi watu wamuhofie kama hao wezi wenu wa leo! Hata nyerere angefanana na hawa nae tungemhofia mipango yake lakini tuliamini kuwa inamanufaa kwetu 100% kwa sababu yeye hakuwa fisadi, bw*e*ge wewe!
  12. Justinejm

    Yanayojiri Uzinduzi wa ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo. Serikali ya Oman, China & TZ wapo

    Hata mm napata picha hapo mkuu, wachina wanataka wawe na miundo mbinu yake rasmi ili wahamishe mali zetu bila kubugudhiwa, na huyo huyo babaye ridhia-uone ndio atakuwa mpiga deal mwenzao mbongo asieona sirini atabaki kushangaa malori na kulipwa fidia za kujengewa nyumba basi,
  13. Justinejm

    Uchawi na ushirikina sehemu za kazi unavyoteketeza wengi

    Wajenzi huru hao, Tehe tehe tehe, ihiiii ihiii hiiii, ihiii......!😁
Back
Top Bottom