Lowassa: Awamu ya pili inakuja

Lowassa: Awamu ya pili inakuja

Mbowe kaweka wazi, kwa kusema Lowassa wakati wake umekwisha, alipewa chance na amefeli. Kwa hivyo Chadema kitafungua mashtaka ya wabunge waliodhulimiwa kura, lakini hawatafungua kesi ya uraisi. Ukitupa jongoo unatupa na mtii wake. It's time to shreed off the excess baggage from ccm B,
 
Mimi sipati picha. Bunge litakuwepo kabla ya uchaguzi mpya wa Zenji? Waziri mkuu je? Maalimu akiwa Rais wakajitoa muungano uchaguzi unaitishwa upya? Na huyo Lubuva alivyosema kufutwa kwa uchaguzi zanzibar hakuna athari kwa bara hakuona hili? Yaani ni mchanganyiko maalum.
 
lowassa bmpaka sasa ana miaka 62, na samweli sitta ana miaka 70, prof. mwandosya ana miaka 67 na bado amegombea Uraisi. Wewe Vip?
Lowasa mgonjwa yule usimlinganishe na jembe Samweli sita mzee ana afya njema tele tele
 
Lowasa alijiamin vile akijua wale vijana wake watachakachua, kama keshawaita hapo ndo kavunja kamat kilq mtu afanye yake ndo washaangukia pua hvo hhahahahahaa RIH ukawa
 
Teh Teh Lowasa hakika kichwa chake hakiko sawa..
 
Trust me Lowassa ndio Rais wa hii Nchi,Wananchi wameamua, hakuna mfumo unaotoka kirahisi, nimesoma gazeti la mwananchi linasema Lowasa asema safari ya kuelekea ikuli ndo imeanza.

Yeah.... Safari ndo imeanza wakuu, hiyo ndio kauli ya shujaa wetu Edward Lowassa



Chanzo: Mwananchi

hivi hii ni akili yako kweli?
 
Sheria za Tanzania ni kwmba rais akishatangazwa huwezi kupeleka mashtaka mahakamani kupinga matokeo ya Urais.ndio maana watashughulika na rufaa za nafasi za ubunge!!
 
Tutalipiza kupitia Zanzibar.Maalim akiwa raisi anaitishsa kura ya maoni kuamua kama wazanzibar wanataka muungano au hawautaki.Baada ya hapo Magufuli atakuwa hana kazi-tafakari utaelewa.

you are smarter than einstein
 
afadhali bangi za waendesha bodaboda, hizi za chumbani mbaya sana hizi

Hizi sio za chumbani, hizi ni za kuvutia chooni, ametoka huko anaona kama vile yupo Europe. lowassa keshaenda monduli
 
Mimi sipati picha. Bunge litakuwepo kabla ya uchaguzi mpya wa Zenji? Waziri mkuu je? Maalimu akiwa Rais wakajitoa muungano uchaguzi unaitishwa upya? Na huyo Lubuva alivyosema kufutwa kwa uchaguzi zanzibar hakuna athari kwa bara hakuona hili? Yaani ni mchanganyiko maalum.

.........unaona kuvunja muungano ni kama kuvaa pampers !??? Mfamaji
 
Last edited by a moderator:
lowassa bmpaka sasa ana miaka 62, na samweli sitta ana miaka 70, prof. mwandosya ana miaka 67 na bado amegombea Uraisi. Wewe Vip?
Sasa 62 tu amechoka vile je akifika 68 si ndio atakuwa taabani kabisa!
 
Kwenye Kikao cha Kuvunja kamati kilchofanyika Kawe jana Mh Lowassa kashukuru sana Viongozi wa Ukawa kwa Ushirikiano wao, Akina Kingunge, Sumaye, Mgana, Mgeja, Makongoro Mahanga hawakuwepo wala hata Majina yao hayakutajwa binafsi kwa Ushirikian, jina pekee lililotajwa kwa wale waliomfata lilikuwa la Lawrence Masha. Kuna Vijana kuanzia juzi walidanganywa eti Lowassa kaenda the Hegue kudai Urais wake.

Sasa wamekubali kushindwa na hata Bungeni wataingia siku Mh. Magufuli akihutubia Bunge sio kama 2010 waliposusia Bunge nadhani wameanza kukomaa! Pia tunamshukuru sana Mh. Lowassa kwa kuongeza Joto la kisiasa kwny Uchaguzi huu. Mziki wa Zanzibar waachieni wazanzibari wenyewe msipeleke Siasa za Viroba kule.
 
Tutalipiza kupitia Zanzibar.Maalim akiwa raisi anaitishsa kura ya maoni kuamua kama wazanzibar wanataka muungano au hawautaki.Baada ya hapo Magufuli atakuwa hana kazi-tafakari utaelewa.

You are a genious mkuu, sasa ubayaubaya tu, hatuwezi kufurahia na watu wanaofurahia ushindi na familia zao sasa hivi , we jiulize , nchi yote imenywea kwa hofu na kukata tamaa, hakuna anaefurahi pamoja nao ila familia zao tu, huo ni ushindi wa kifamilia tu, lakini ingekuwa ni peoples basi mitaa yote watu ambao ndio peoples wangesherehekea wiki yote ya kutangazwa hayo matokeo!
 
Tutalipiza kupitia Zanzibar.Maalim akiwa raisi anaitishsa kura ya maoni kuamua kama wazanzibar wanataka muungano au hawautaki.Baada ya hapo Magufuli atakuwa hana kazi-tafakari utaelewa.

kwa mipango tu muko vizuri ila utekelezaji sasa ni shidaaaaa!!endelea kuota mkuu ukishaamka utakuta shein yuko ikulu
 
Hiyo safari ameibatiza jina gani mana ya matumaini ndo imeshafika mwisho. Na je mbona mlisema laxima ccm ing'oke madarakani mwaka huu la sivyo haitatoka hadi miaka hamsini ijayo hilo nalo vipi au mmesahau. Kweli mmeisoma namba
 
Ajiandae hata atengrneze jeshi lake kama anaweza ila atambue kwambwa hii nchi inaitwa Tz na yeye hatakaa awe rais wa nchi yetu

Kweli kabisa,watawala kupitia Necccm walikuwa na option 2,1.Kupunguza kura za Lowassa na kumpa Rais wa ccm mbinu ambayo wamefanikiwa.2.Kufuta matokeo yote kama walivyofanya Zanzibar baada ya kuona Maalim Seif kawagaragaza.
 
Bado nina imani na LOWASSA hii ngoma bado mbichi kabisa mbona!!!
 
Back
Top Bottom