Recent content by justin swai

  1. justin swai

    Jeshi la polisi limfukuze kazi askari huyu mara moja!

    jeshi la sasa limekua tu na tabia ya kuonea wasio kua na makosa wenye makosa wanawaogopa jaman police ndo kazi yenu uonevu mkikaa vituon mnataman tu rushwa kazi yenu nn sehemu ikitokea uhalifu ukiripoti huja mwisho wa tukio wahalifu wameondoka etii wanakamata wasio husika kwa uchunguzi kwa nn...
  2. justin swai

    Ushuhuda wa kutisha kutoka hospitali ya serikali

    kweli inasikitisha na hakuna asiependa maisha yake aende huko kumbuka ndugu yangu kuna waziri na muuza mchicha hawa kwa mtazamo unaweza sema ni watu wawili tofauti na tofauti yake ipo kwenye uwezo hata siku moja huwezi mkuta waziri au kiongozi yeyote wa serikali anatibiwa hospitali ya umma...
  3. justin swai

    Nurse huyu anachofanya ni sahihi kweli?

    jaman kweli huo ni ubinadam au unyamaa hiyo sio kazi yake wangap wapo hawap huo msaada leo hii ana bebea makreti ya soda na bia jaman wa tz mnasapot hiyo kitu ni sahihi mungu tuepushie watu kama hawa
  4. justin swai

    Katika wale Majambazi waliodakwa, mmoja katoka kuvisha Pete ya uchumba

    wele wafungu wakaanza kumuuliza umekuja na nani nimekuja mwwnyewe wakaanza kuimba mwali mwali mwali mwache akawe mwali huko
  5. justin swai

    Mambo usiyoyajua kuhusu Nyumbu

    Tumbilli na mikwara miingi
  6. justin swai

    Mali za Gwajima zaanikwa: Akisiwa Kuwa Mchungaji Tajiri Afrika!

    Ama kweli kala jeremaya alisha waambia maskini walewale matajiri walewale iweje mumin wa gwajima anaetembea kwa mguu yeye anamiliki vitu vyote hivyo alafu eti anajinadi yeye ni maskin kama waumin wake kama wangekua maskin angepata wapi hizo mali walizo mpa sadaka? siii mtumishiiiiii wa mungu...
  7. justin swai

    Huyu ni nani na alifuata nini Ikulu?

    Nae kaalikwa ndo maana yupo hapo hajatoka kwao na kwenda tu
  8. justin swai

    Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

    Hapo sasa kaka unatafuta kiki kwani halima mdee analalamika mara ngapi kuhusu ubovu wa miundo mbinu lakin kwakua ni upinzan hapewi nyenzo ulitaka ajenge na nn hiyo barabara mpe mshiko wako atajenga na hesabu utapewa siasa na unayofanya yametokea wapi?
  9. justin swai

    Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa

    Maneno huumba nani alie kuambia huna uwezo wa kuzaa?kama ni daktari je awezaje kua na uwezo wa mungu?je wa mwamin mungu?bc kwa mungu hakuna umri wa uzee ipo siku mungu atakuonesha kwamba ni yeye ila ushaur mwamin mungu wako utende ya kumpendeza naye atakupendezesha kwa kilio chako kwake ili nawe...
  10. justin swai

    Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

    Kupenda ni huuluka ya binadam na sii kabila
Back
Top Bottom