Hahaha sawa wanalumumba hata mbuyu ni mkubwa sana ila ulianza kama mchicha tunaenda mdogo mdogo hata mtoto katika ukuaji haruki stage atakaa atatambaa atasimama na mwisho atatembea..Aluta continua
Kulinda kura sio kuangalia tu wakihesabu ila ni kuchunguza mienendo yote inayoendelea ili kuzuia mianya ya rushwa kutokea ndo mana serikali iliweka sheria Hio..ni sheria ambayo ipo kikatiba Xo kuwakataza watu ni kuwanyima haki Yao kikatba
Unajua sheria ya uchaguzi iliyofanyiwa marekebisho mwaka2010?kama hujui nyamaza kimya ni haki kwa mujibu wa sheria kulinda kura yako mita 200 kutoka kituo cha kupiga Kura kilipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.