mgombea urais kwa tiketi ya chadema lowassa anapachimba meatu mda huuuu.
Kabla ya hapo kabla ya hapo alihutubia mkutano mwingine wa hadhara katika jimbo la kisesa.
Picha zitawajia pundeee, ni mafuriko hatari.
Update :
Amemaliza kuhutubia ndio anaondoka anasubiriwa mkutano mwingine mjini singida
mkuu wachague mbuzi kwani watu wameisha?!!Salum Mbuzi hana lake hapo ni kwa MESHACK OPULUKWA
lowassa kwa sasa hali yake mbaya kwa watanzania, wameshajua yeye mpiga dili tu hana jipya ktk nchi hii. Watu wanasema ni magufuli pekee ndio rais wa tanzania.
Hili fisadi la kazi gani.
lowassa kwa sasa hali yake mbaya kwa watanzania, wameshajua yeye mpiga dili tu hana jipya ktk nchi hii. Watu wanasema ni magufuli pekee ndio rais wa tanzania.
Hapo ni kwa salum mbuzi. Ameenda kupoteza muda tu.
Hili fisadi la kazi gani.
mwambie asiamini mtu,awe anaikagua mwenyewe helcopter
Hili fisadi la kazi gani.
Hapo ni kwa salum mbuzi. Ameenda kupoteza muda tu.
lowassa kwa sasa hali yake mbaya kwa watanzania, wameshajua yeye mpiga dili tu hana jipya ktk nchi hii. Watu wanasema ni magufuli pekee ndio rais wa tanzania.