Kumbuka jela zetu hapa ni mara chache sana kumrekebisha mtu maana mara nyingi watu wanafungwa kwa kukomoana!
Ukiona mtu kamaliza kifungo chake na akarudi mtaani akatulia jua sana sana huyo alibambikiwa kesi! Mqenye tabia yake ya wizi na ujambazi hawezi kurekebishwa na mageteza zetu!
Mageteza...
Kuweka umeme kwenye nyumba kwa elfu 27, mita zimekuwa nyingi mpaka kijijini nyumba ya makuti inalipa kodi ya jengo,
Hata zile nyumba sugu zilizokwepa kulipa kodi, wapangaji wanamlipia mwenye nyumba kodi!
Njoo muwaongezee nguvu wachafuzi wa JPM, wameona hazitoshi! Njooni muwasaidie! Maana wameongea, wamekashifu, wametukana asiyesema! Asiyeweza kujitetea!, lakini aliacha alama muhimu Tz!
Akupumuzishe kwa amani mwamba JPM
Hii ktu imeanzia Uganda kwa vijana kubuni usafiri wa baiskeli na kupelekea kununua pikipiki, wengi walitoka na ni matajiri wakubwa! Lwakatare alilileta wazo hili bukoba ccm, wakalipinga, leo hii ndo wapiga kula wao
Kipindi cha awamu ya nne walichapisha fulana na khanga kiasi kwamba waligawa mpaka wakakosa wakuwapa! Kama watu walipenda chama kwanini wasinunue!
Mafisadi wamerudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.