Recent content by Justard zelphine

  1. J

    Haya yakifanyika uhalifu utaisha, panya road watakwisha na raia watakuwa wanalala milango wazi hadi asubuhi

    Kumbuka jela zetu hapa ni mara chache sana kumrekebisha mtu maana mara nyingi watu wanafungwa kwa kukomoana! Ukiona mtu kamaliza kifungo chake na akarudi mtaani akatulia jua sana sana huyo alibambikiwa kesi! Mqenye tabia yake ya wizi na ujambazi hawezi kurekebishwa na mageteza zetu! Mageteza...
  2. J

    Haya yakifanyika uhalifu utaisha, panya road watakwisha na raia watakuwa wanalala milango wazi hadi asubuhi

    Kutoka jela hakumaniishi aliacha ujambazi! Tena awamu hizo ililikuwa tabu sana kutofautisha rushwa na takirima
  3. J

    Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

    Kuweka umeme kwenye nyumba kwa elfu 27, mita zimekuwa nyingi mpaka kijijini nyumba ya makuti inalipa kodi ya jengo, Hata zile nyumba sugu zilizokwepa kulipa kodi, wapangaji wanamlipia mwenye nyumba kodi!
  4. J

    Gazeti la Tanzania Daima mbioni kuingia mitaani

    Aliwatesa wezi na vyeti fake!
  5. J

    Gazeti la Tanzania Daima mbioni kuingia mitaani

    Sijui! Mbona utafukiwa na shuka moja siku ikiwadia ndugu? Yote haya mapito tutayaacha, Hata Mengi aliacha kila kitu! Hivyo usijivunie kwamba vyako!
  6. J

    Gazeti la Tanzania Daima mbioni kuingia mitaani

    Njoo muwaongezee nguvu wachafuzi wa JPM, wameona hazitoshi! Njooni muwasaidie! Maana wameongea, wamekashifu, wametukana asiyesema! Asiyeweza kujitetea!, lakini aliacha alama muhimu Tz! Akupumuzishe kwa amani mwamba JPM
  7. J

    Rais Samia atua Tanzania, aongelea mafanikio ya safari yake Marekani

    Yaani hapo ndo naona tunakosea sana, ombaomba kwa wajomba haisaidii
  8. J

    Godbless Lema adai nchi kurasimisha pikipiki au bodaboda kuwa usafiri halali wa umma ni Ishara ya umasikini

    Hii ktu imeanzia Uganda kwa vijana kubuni usafiri wa baiskeli na kupelekea kununua pikipiki, wengi walitoka na ni matajiri wakubwa! Lwakatare alilileta wazo hili bukoba ccm, wakalipinga, leo hii ndo wapiga kula wao
  9. J

    CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

    Wewe ni Mwongo! Kwani wote si tuliona makampuni yalivyotengeneza mikataba fake na Tanesco? Mafisadi wapo kazini baada ya JPM kuondoka!
  10. J

    Madeni ya kampeni za 2020 yaibuka, wadai watishia kuipeleka CCM Mahakamani

    Kipindi cha awamu ya nne walichapisha fulana na khanga kiasi kwamba waligawa mpaka wakakosa wakuwapa! Kama watu walipenda chama kwanini wasinunue! Mafisadi wamerudi
  11. J

    CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

    Hawa jamaa wamejipanga kwelikweli!, kwa kushirikiana na wahuni ili adhima yao itimie!, lakini watanzania sio wa enzi hizo!
Back
Top Bottom